Polepole unampoteza Zenda

Polepole unampoteza Zenda

Na wewe mhenga mambo na michezo ya watoto unaingilia! Waachie wenyewe watoane ngeu. Au umesahau figusu za uvccm zilvyoondoka na maisha ya mdogo wako (R. I. P my best friend)?

Du!!!! kumbe kubwa jinga!!!
 
Kwa muda mrefu sasa zenda amekua akisadikiwa kuisema vibaya uvccm kwa polepole na baadhi ya maofisa wa ccm Lumumba. Sababu ya kufanya hivyo iko wazi; (1) shirikisho kuondolewa na kuwekwa chini ya uvccm kama idara (2) kutopewa cheo kikubwa (unaibu katibu Mkuu au ukatibu mkuu) (3) kupenda kufanya kazi bila kufuata taratibu na mipango.

Kwasababu ya hayo yote hivyo ameamua kumtumia polepole kama mtu wa kumuhakikishia kuwa anaivuruga uvccm na hatimaye kuukwaa ukuu wa jumuiya hii adhimu ya ccm, hivyo polepole amekua akifanya kila analoliweza kuhakikisha kuwa anaviza utendaji kazi wa uvccm, anaingilia majukumu ya jumuiya, na pindi anapojishughulisha na kazi za vijana kiungo anayemtumia ni zenda pekee kwani anataka kumfanya yeye ndio aonekane kama mtu pekee anayeweza kufanya shughuli za jumuiya na za vijana kwa ujumla.

Kwanini nasema Polepole anampoteza zenda?

(1) CCM na Jumuiya zake inayo utaratibu wa kufanya kazi. Polepole anamshughulisha Zenda kuuvunja utaratibu wa CCM na Jumuiya zake kwenye uhusiano wa kikatiba na Kikanuni wa kufanya kazi.

(2) Msimamizi Mkuu wa shughuli za UVCCM ni Katibu Mkuu, lakini Polepole akadandia majukumu ya mwenye nayo kwa kupitia Zenda na kuyahodhi mamlaka hayo kwa lengo lao la msingi la kuivuruga UVCCM.

(3) Polepole anyemgombea wake wa uwenyekiti UVCCM (ninamuhifadh jina kwa awamu hii) Hivyo kiungo mchezeshaji kwenye harakati hizo ni Zenda, na Zenda kaamua kuwa mwendawazimu zaidi ya uwendawazimu wake unaofahamika.

(4) Polepole amemuhakikishia Zenda na washirika wake kuwa yeye ndiye Katibu mkuu wa CCM ajaye kwasababu kinana ataondoshwa katika nafasi hiyo na kukikalia kiti, pia amemfahamisha zenda kuwa atampambania awe katibu mkuu uvccm ajaye ili wafanye kazi pamoja.

(5) Polepole anamremote control Zenda kuandaa mambo yasiyo ya ukweli mfano kupanga safu na kupokea rushwa na kutafuta namna ya kuzipenyesha kwa rais. Na hii imedhibitika juzi jumamosi siku ambayo rais alikwenda kigamboni.

Mwisho Ningependa kumshauri Polepole ajiheshimu na atulizane, maana tabia mbaya anoyoonyesha sio njema kwa afya ya CCM.

Pia Zenda ni mdhaifu sana kiuongozi na hana nasaba zozote za uongozi, anafanya kulazimisha mambo.

Usipopigwa na radi kutoka kwa MUNGU ukapotea, utapigwa kwa namna yeyote na wanadamu.

USIPOZIBA UFA, UTAJENGA UKUTA

Hivi inakuwaje kijana anakuwa mshabiki wa CCM mpaka kufikia hatua ya kugombania vyeo ndani ya taasisi hiyo dhalimu? Ningeshauri Sociologists watusaidie kutafiti hili jambo maana it is a puzzle. Kijana wa kisasa, na msomi mzuri anatarajiwa kuwa progressive. Lakini hawa vijana wamemaliza chuo kikuu, wanaishi Dar es Salaam na ni member wa JF but they are still so backward and conservative. What can explain this? I believe there is more to it than just njaa.
 
Kwa muda mrefu sasa zenda amekua akisadikiwa kuisema vibaya uvccm kwa polepole na baadhi ya maofisa wa ccm Lumumba. Sababu ya kufanya hivyo iko wazi; (1) shirikisho kuondolewa na kuwekwa chini ya uvccm kama idara (2) kutopewa cheo kikubwa (unaibu katibu Mkuu au ukatibu mkuu) (3) kupenda kufanya kazi bila kufuata taratibu na mipango.

Kwasababu ya hayo yote hivyo ameamua kumtumia polepole kama mtu wa kumuhakikishia kuwa anaivuruga uvccm na hatimaye kuukwaa ukuu wa jumuiya hii adhimu ya ccm, hivyo polepole amekua akifanya kila analoliweza kuhakikisha kuwa anaviza utendaji kazi wa uvccm, anaingilia majukumu ya jumuiya, na pindi anapojishughulisha na kazi za vijana kiungo anayemtumia ni zenda pekee kwani anataka kumfanya yeye ndio aonekane kama mtu pekee anayeweza kufanya shughuli za jumuiya na za vijana kwa ujumla.

Kwanini nasema Polepole anampoteza zenda?

(1) CCM na Jumuiya zake inayo utaratibu wa kufanya kazi. Polepole anamshughulisha Zenda kuuvunja utaratibu wa CCM na Jumuiya zake kwenye uhusiano wa kikatiba na Kikanuni wa kufanya kazi.



(2) Msimamizi Mkuu wa shughuli za UVCCM ni Katibu Mkuu, lakini Polepole akadandia majukumu ya mwenye nayo kwa kupitia Zenda na kuyahodhi mamlaka hayo kwa lengo lao la msingi la kuivuruga UVCCM.

(3) Polepole anyemgombea wake wa uwenyekiti UVCCM (ninamuhifadh jina kwa awamu hii) Hivyo kiungo mchezeshaji kwenye harakati hizo ni Zenda, na Zenda kaamua kuwa mwendawazimu zaidi ya uwendawazimu wake unaofahamika.

(4) Polepole amemuhakikishia Zenda na washirika wake kuwa yeye ndiye Katibu mkuu wa CCM ajaye kwasababu kinana ataondoshwa katika nafasi hiyo na kukikalia kiti, pia amemfahamisha zenda kuwa atampambania awe katibu mkuu uvccm ajaye ili wafanye kazi pamoja.

(5) Polepole anamremote control Zenda kuandaa mambo yasiyo ya ukweli mfano kupanga safu na kupokea rushwa na kutafuta namna ya kuzipenyesha kwa rais. Na hii imedhibitika juzi jumamosi siku ambayo rais alikwenda kigamboni.

Mwisho Ningependa kumshauri Polepole ajiheshimu na atulizane, maana tabia mbaya anoyoonyesha sio njema kwa afya ya CCM.

Pia Zenda ni mdhaifu sana kiuongozi na hana nasaba zozote za uongozi, anafanya kulazimisha mambo.

Usipopigwa na radi kutoka kwa MUNGU ukapotea, utapigwa kwa namna yeyote na wanadamu.

USIPOZIBA UFA, UTAJENGA UKUTA

NIMUHIMU SANA KWA CHAMA NA JUMUIYA KUMCHUKULIA ZENDA HATUA ZA KINIDHAMU, MPAKA HAPO AMEKOSA MAADILI NA ANAPASWA KUSHUGHULIKIWA.
 
NIMUHIMU SANA KWA CHAMA NA JUMUIYA KUMCHUKULIA ZENDA HATUA ZA KINIDHAMU, MPAKA HAPO AMEKOSA MAADILI NA ANAPASWA KUSHUGHULIKIWA.

Huwezi kutenganisha utovu wake wa nidhamu na hicho kibabu slowslow, wote wapigwe chini tu.
 
Kwa muda mrefu sasa zenda amekua akisadikiwa kuisema vibaya uvccm kwa polepole na baadhi ya maofisa wa ccm Lumumba. Sababu ya kufanya hivyo iko wazi; (1) shirikisho kuondolewa na kuwekwa chini ya uvccm kama idara (2) kutopewa cheo kikubwa (unaibu katibu Mkuu au ukatibu mkuu) (3) kupenda kufanya kazi bila kufuata taratibu na mipango.

Kwasababu ya hayo yote hivyo ameamua kumtumia polepole kama mtu wa kumuhakikishia kuwa anaivuruga uvccm na hatimaye kuukwaa ukuu wa jumuiya hii adhimu ya ccm, hivyo polepole amekua akifanya kila analoliweza kuhakikisha kuwa anaviza utendaji kazi wa uvccm, anaingilia majukumu ya jumuiya, na pindi anapojishughulisha na kazi za vijana kiungo anayemtumia ni zenda pekee kwani anataka kumfanya yeye ndio aonekane kama mtu pekee anayeweza kufanya shughuli za jumuiya na za vijana kwa ujumla.

Kwanini nasema Polepole anampoteza zenda?

(1) CCM na Jumuiya zake inayo utaratibu wa kufanya kazi. Polepole anamshughulisha Zenda kuuvunja utaratibu wa CCM na Jumuiya zake kwenye uhusiano wa kikatiba na Kikanuni wa kufanya kazi.

(2) Msimamizi Mkuu wa shughuli za UVCCM ni Katibu Mkuu, lakini Polepole akadandia majukumu ya mwenye nayo kwa kupitia Zenda na kuyahodhi mamlaka hayo kwa lengo lao la msingi la kuivuruga UVCCM.

(3) Polepole anyemgombea wake wa uwenyekiti UVCCM (ninamuhifadh jina kwa awamu hii) Hivyo kiungo mchezeshaji kwenye harakati hizo ni Zenda, na Zenda kaamua kuwa mwendawazimu zaidi ya uwendawazimu wake unaofahamika.

(4) Polepole amemuhakikishia Zenda na washirika wake kuwa yeye ndiye Katibu mkuu wa CCM ajaye kwasababu kinana ataondoshwa katika nafasi hiyo na kukikalia kiti, pia amemfahamisha zenda kuwa atampambania awe katibu mkuu uvccm ajaye ili wafanye kazi pamoja.

(5) Polepole anamremote control Zenda kuandaa mambo yasiyo ya ukweli mfano kupanga safu na kupokea rushwa na kutafuta namna ya kuzipenyesha kwa rais. Na hii imedhibitika juzi jumamosi siku ambayo rais alikwenda kigamboni.

Mwisho Ningependa kumshauri Polepole ajiheshimu na atulizane, maana tabia mbaya anoyoonyesha sio njema kwa afya ya CCM.

Pia Zenda ni mdhaifu sana kiuongozi na hana nasaba zozote za uongozi, anafanya kulazimisha mambo.

Usipopigwa na radi kutoka kwa MUNGU ukapotea, utapigwa kwa namna yeyote na wanadamu.

USIPOZIBA UFA, UTAJENGA UKUTA
wacha funza waule mzoga!
 
Nakushukuru, majibu haya ndiyo niliyokuwa namtahadharisha Shalifa Masuzu kuwa suala hili kulileta hapa ni sawa na kujichoresha. Hapa asilimia 99 ni wasiyoitakia mema CCM na ni utoto kuleta sredi kama hii hapa maana utaambulia matusi kama ulivyofanya


Magamba yanaruka na kukanyagana hadi raha.
 
Polepole huyu huyu wa Katiba mpya au kuna polepole mwingine ?

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Yani hii inaonyesha kiasi gani UVCCM ni vilaza mambo ya ndani ya chama unaleta kwenye mitandao ili iweje ndio mana poleple kaona hamfai na anawaluka kwenye mambo mengi kwasababu hamna busara hata kidogo.
 
Kwa muda mrefu sasa zenda amekua akisadikiwa kuisema vibaya uvccm kwa polepole na baadhi ya maofisa wa ccm Lumumba. Sababu ya kufanya hivyo iko wazi; (1) shirikisho kuondolewa na kuwekwa chini ya uvccm kama idara (2) kutopewa cheo kikubwa (unaibu katibu Mkuu au ukatibu mkuu) (3) kupenda kufanya kazi bila kufuata taratibu na mipango.

Kwasababu ya hayo yote hivyo ameamua kumtumia polepole kama mtu wa kumuhakikishia kuwa anaivuruga uvccm na hatimaye kuukwaa ukuu wa jumuiya hii adhimu ya ccm, hivyo polepole amekua akifanya kila analoliweza kuhakikisha kuwa anaviza utendaji kazi wa uvccm, anaingilia majukumu ya jumuiya, na pindi anapojishughulisha na kazi za vijana kiungo anayemtumia ni zenda pekee kwani anataka kumfanya yeye ndio aonekane kama mtu pekee anayeweza kufanya shughuli za jumuiya na za vijana kwa ujumla.

Kwanini nasema Polepole anampoteza zenda?

(1) CCM na Jumuiya zake inayo utaratibu wa kufanya kazi. Polepole anamshughulisha Zenda kuuvunja utaratibu wa CCM na Jumuiya zake kwenye uhusiano wa kikatiba na Kikanuni wa kufanya kazi.

(2) Msimamizi Mkuu wa shughuli za UVCCM ni Katibu Mkuu, lakini Polepole akadandia majukumu ya mwenye nayo kwa kupitia Zenda na kuyahodhi mamlaka hayo kwa lengo lao la msingi la kuivuruga UVCCM.

(3) Polepole anyemgombea wake wa uwenyekiti UVCCM (ninamuhifadh jina kwa awamu hii) Hivyo kiungo mchezeshaji kwenye harakati hizo ni Zenda, na Zenda kaamua kuwa mwendawazimu zaidi ya uwendawazimu wake unaofahamika.

(4) Polepole amemuhakikishia Zenda na washirika wake kuwa yeye ndiye Katibu mkuu wa CCM ajaye kwasababu kinana ataondoshwa katika nafasi hiyo na kukikalia kiti, pia amemfahamisha zenda kuwa atampambania awe katibu mkuu uvccm ajaye ili wafanye kazi pamoja.

(5) Polepole anamremote control Zenda kuandaa mambo yasiyo ya ukweli mfano kupanga safu na kupokea rushwa na kutafuta namna ya kuzipenyesha kwa rais. Na hii imedhibitika juzi jumamosi siku ambayo rais alikwenda kigamboni.

Mwisho Ningependa kumshauri Polepole ajiheshimu na atulizane, maana tabia mbaya anoyoonyesha sio njema kwa afya ya CCM.

Pia Zenda ni mdhaifu sana kiuongozi na hana nasaba zozote za uongozi, anafanya kulazimisha mambo.

Usipopigwa na radi kutoka kwa MUNGU ukapotea, utapigwa kwa namna yeyote na wanadamu.

USIPOZIBA UFA, UTAJENGA UKUTA
Malizaneni kwa ngumi,uchawi,majungu,fitna mana ndio asili yenu uvccm,mkiona vipi mpelekane kwa polepole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom