GE2025 Polepole: Tunaendaje kwenye Uchaguzi wakati Mpinzani wa Kweli yuko Gerezani?

GE2025 Polepole: Tunaendaje kwenye Uchaguzi wakati Mpinzani wa Kweli yuko Gerezani?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi yetu baada ya aliyekuwa Rais kutwaliwa na Mungu. Kwahiyo ana Haki ya kulinda maslai mapana ya nchi ya Tanzania, asijitazame yeye kwanza."

"Tunakwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ambayo nchi haiko moja tumegawika wengine hawafanyi Siasa kwasababu wamefungwa mikono, unapataje amani unakwenda kwenye uchaguzi mpinzani wa kweli yupo jela? Haiwezekani."

 
Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi yetu baada ya aliyekuwa Rais kutwaliwa na Mungu. Kwahiyo ana Haki ya kulinda maslai mapana ya nchi ya Tanzania, asijitazame yeye kwanza."

"Tunakwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ambayo nchi haiko moja tumegawika wengine hawafanyi Siasa kwasababu wamefungwa mikono, unapataje amani unakwenda kwenye uchaguzi mpinzani wa kweli yupo jela? Haiwezekani."

ibilisi wa ccm wamechangisha bilion 83 ili wazitumie kuwalisha kuwalea chauma ubwabwa chama mchepuko wa ccm, Mbowe anakusubiria pesa kwa hamu kwani ndiyo mwenye Tenda ya kuuza watu toka chadema kwenda Chaumaccm kwa njia haramu za kishetani
 
Tokea juzi Mbowe ana furaha sana baada ya kuona pesa zikichangwa anajua sasa atakuwa bilion kwa udalali wa kisiasa, na pia anazitumia hizo pesa kuidhoofisha chadema kisha afanye mapinduzi kama Lipumba wa CUF, chadema kuanzia sasa mchungeni mbowe ilibidi asomewe Alibadiri mapema kabla hajaenda mbali zaidi
 
Sio wa kumzingatia sana .

Yupo anajenga ccm imara.
ccm imepata pesa, shida na Tabu ni hizo pesa kutumika na madalali wa Siasa kudidimiza Demokrasia, ibilisi wa ccm watazifuja kwa visingizio vya kuihujumu chadema na kufanyia uchakachuaji wakati matokeo wanayo mifukoni
 
Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi yetu baada ya aliyekuwa Rais kutwaliwa na Mungu. Kwahiyo ana Haki ya kulinda maslai mapana ya nchi ya Tanzania, asijitazame yeye kwanza."

"Tunakwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ambayo nchi haiko moja tumegawika wengine hawafanyi Siasa kwasababu wamefungwa mikono, unapataje amani unakwenda kwenye uchaguzi mpinzani wa kweli yupo jela? Haiwezekani."

Polepole 🤣🤣🤣 😱!
Polepole bado hajajua tu mpaka sasa kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Nchi iliyopo hakuna mahali Katiba imevunjwa 😳😱🤷🏾‍♂️🤷‍♂️ !

Nyerere aliwaambia lakini mkashupaza Shingo 😅😂 !
Sasa mkae kwa kutulia !
Hakuna mahali Katiba imevunjwa na kama ipo sehemu imevunjwa muende mukafungue Shauri Mahakamani 🤷🏾‍♂️🤷🏿‍♂️🤷‍♂️ !
Katiba ya Nchi ndio Sheria Mama 🙌👍 !
Rasimu ya Katiba ya Mzee Warioba ✅💯 🙌✅

Hapo vipi Mr Polepole ????!!
 
Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi yetu baada ya aliyekuwa Rais kutwaliwa na Mungu. Kwahiyo ana Haki ya kulinda maslai mapana ya nchi ya Tanzania, asijitazame yeye kwanza."

"Tunakwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ambayo nchi haiko moja tumegawika wengine hawafanyi Siasa kwasababu wamefungwa mikono, unapataje amani unakwenda kwenye uchaguzi mpinzani wa kweli yupo jela? Haiwezekani."

Polepole asipovuta shisha anaongea mambo mema tu.
 
Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi yetu baada ya aliyekuwa Rais kutwaliwa na Mungu. Kwahiyo ana Haki ya kulinda maslai mapana ya nchi ya Tanzania, asijitazame yeye kwanza."

"Tunakwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ambayo nchi haiko moja tumegawika wengine hawafanyi Siasa kwasababu wamefungwa mikono, unapataje amani unakwenda kwenye uchaguzi mpinzani wa kweli yupo jela? Haiwezekani."

Ila polepole ni mnafiki wa viwango vya juu sana dah 🤣
 
Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi yetu baada ya aliyekuwa Rais kutwaliwa na Mungu. Kwahiyo ana Haki ya kulinda maslai mapana ya nchi ya Tanzania, asijitazame yeye kwanza."

"Tunakwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ambayo nchi haiko moja tumegawika wengine hawafanyi Siasa kwasababu wamefungwa mikono, unapataje amani unakwenda kwenye uchaguzi mpinzani wa kweli yupo jela? Haiwezekani."

Bila shaka Lisu ni mwanasheria mzuri na ni mzuri wa kujenga hoja, tatizo lake si mwanadiplomasia na siasa za kiafrika zinamshinda, siasa zake kama angekuwa nje ya Afrika zingeleta tija, lakini huku kwetu Afrika lazima ufanye siasa kwa akili kubwa sana na bila ya kutumia mihemko, ukitumia uwanaharakati utajikuta unatumikia jela bila ya mpango. Na tatizo lingine Lisu akiwa nje anaweza akadhuriwa na watu wakaanza kutupiana lawama.
 
Polepole 🤣🤣🤣 😱!
Polepole bado hajajua tu mpaka sasa kwamba kwa mujibu wa Katiba ya Nchi iliyopo hakuna mahali Katiba imevunjwa 😳😱🤷🏾‍♂️🤷‍♂️ !

Nyerere aliwaambia lakini mkashupaza Shingo 😅😂 !
Sasa mkae kwa kutulia !
Hakuna mahali Katiba imevunjwa na kama ipo sehemu imevunjwa muende mukafungue Shauri Mahakamani 🤷🏾‍♂️🤷🏿‍♂️🤷‍♂️ !
Katiba ya Nchi ndio Sheria Mama 🙌👍 !
Rasimu ya Katiba ya Mzee Warioba ✅💯 🙌✅

Hapo vipi Mr Polepole ????!!

Mahakama hizi za Rostam? Acha utani.
 
Mpinzani ana tuhuma za uhaini. Yuko mahabusu kwa mujibu wa Sheria. Hata angekuwa katika kampeni na akatenda kosa linalostahili kukamatwa na kuzuiwa kwa mujibu wa Sheria, angeshikiliwa tu.!
 
Bila shaka Lisu ni mwanasheria mzuri na ni mzuri wa kujenga hoja, tatizo lake si mwanadiplomasia na siasa za kiafrika zinamshinda, siasa zake kama angekuwa nje ya Afrika zingeleta tija, lakini huku kwetu Afrika lazima ufanye siasa kwa akili kubwa sana na bila ya kutumia mihemko, ukitumia uwanaharakati utajikuta unatumikia jela bila ya mpango. Na tatizo lingine Lisu akiwa nje anaweza akadhuriwa na watu wakaanza kutupiana lawama.
Hivi kufanya siasa kwa akili ni kukubali kuwa lapdog ?!

Basi siasa haina faida
 
Humphrey Polepole akizungumza kwa njia ya Mtandao usiku wa Agosti 13 amesema; "Mama Samia Mungu atamgusa, nchi hii ni kubwa zaidi kuliko yeye na kwamba dhamana ilimtaka yeye ndiyo awe Rais wa nchi yetu baada ya aliyekuwa Rais kutwaliwa na Mungu. Kwahiyo ana Haki ya kulinda maslai mapana ya nchi ya Tanzania, asijitazame yeye kwanza."

"Tunakwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ambayo nchi haiko moja tumegawika wengine hawafanyi Siasa kwasababu wamefungwa mikono, unapataje amani unakwenda kwenye uchaguzi mpinzani wa kweli yupo jela? Haiwezekani."

Unamwita Mpizani wa kweki!! wakati 2020 election amepata 13% ya vote, na chadema wapata seat moja kwenye bunge.
Polepole kwanza atuambie walimfanyaje mpizani wa kweli 2020
 
Gas imeanza kuisha pole pole! Awahi tu kwa Pastor Tony akapuliziwe!
Mpinzani wa kweli ni nani? Tusimamishe uchaguzi wa watu milioni 60 kisa kuna matakwa ya kikundi cha watu 1000? Wtf!
 
Back
Top Bottom