Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,637
Tusi-kwame hapa katika hili swala la electronic gangsters kama anavyosema Polepole.
Kwa ni maendeleo wakiyaona wananchi ndio wanaipigia kura CCM.
Nchi Iko katika mikono salama. Serikali inawajali wananchi.
Tuache kuzungumza maneno yanayoleta taharuki.
Hii ni New World Order. Uhuru wa raia unaweza kupungua kidogo. Uhuru wa Taifa unaweza kupungua kidogo.
Lakini haina maana kwamba tunarudi katika slavery.
Hakuna sababu ya kuleta panic katika nchi .
Twende katika Uchaguzi. Na ingekuwa vizuri kama restrictions ziongeondolewa kwa Chadema,wapewe ruzuku waingie katika Uchaguzi.
Kwa ni maendeleo wakiyaona wananchi ndio wanaipigia kura CCM.
Nchi Iko katika mikono salama. Serikali inawajali wananchi.
Tuache kuzungumza maneno yanayoleta taharuki.
Hii ni New World Order. Uhuru wa raia unaweza kupungua kidogo. Uhuru wa Taifa unaweza kupungua kidogo.
Lakini haina maana kwamba tunarudi katika slavery.
Hakuna sababu ya kuleta panic katika nchi .
Twende katika Uchaguzi. Na ingekuwa vizuri kama restrictions ziongeondolewa kwa Chadema,wapewe ruzuku waingie katika Uchaguzi.