mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Taarifa kwa Polepole: Unemployment rate ya Tanzania ni 10.3%. Source: Africa :: Tanzania — The World Factbook - Central Intelligence Agency. Aache kuropoka. Anaaibisha chama chetu cha CCM.Mueleweni muktadha wake
Hapo anamaanisha kuwa kwa Tanzania na Afrika kuna changamoto nyingi sana ambazo ndio zilitakiwa zilete ajira
Yaani nchi kama Norway au Canada huko ambako ndio wasio na ajira wanazamia, ndio kulitakiwa kuwe na tatizo la ajira, sababu changamoto zote almost zipo covered, hakuna tatizo la madaktari, madarasa, umeme, hospitali wala barabara, sasa wasomi watapata vipi ajira?
Ila Tanzania kuna tatizo la madaktari, walimu, maji, umeme, usafiri, zahanati n.k lakini madaktari, mainjinia, walimu, madereva n.k hawana ajira..!
Yaani kwa maneno mengine ni kuwa Tanzania hatuna ukosefu wa ajira, bali ukosefu wa akili..