Polepole: Pesa za Corona zilitafunwa

Polepole: Pesa za Corona zilitafunwa

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,160
Reaction score
11,228
Pesa za Corona mwaka 2021 wewe Kikwete ulikuwa rais mstaafu na kuheshimu sana ila mimi ndiye niliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya utawala na Serikali ya mitaa ndio nilipitisha kwa mkono wangu pale bungeni Trilion 4 halafu hela ya Corona ilipokuja Trilion 1.3 mkatumia nje ya bajati kwa matumizi yaleyale yalipangiwa fedha zilitafunwa

 
Pesa za Corona mwaka 2021 wewe Kikwete ulikuwa rais mstaafu na kuheshimu sana ila mimi ndiye niliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya utawala na Serikali ya mitaa ndio nilipitisha kwa mkono wangu pale bungeni Trilion 4 halafu hela ya Corona ilipokuja Trilion 1.3 mkatumia nje ya bajati kwa matumizi yaleyale yalipangiwa fedha zilitafunwa

View attachment 3458031
Mr Polepole Katiba mpya bora ni muhimu sana !
Hata wewe usingekuwa unazungumza huku umejificha kama ufanyavyo sasa !
Sema Rasimu ya Katiba ya Mzee Warioba irudishwe mezani. !
Hapo wengi tutakuelewa !
Lakini hizi blah blah za watu kula pesa Nchi hii tumeshazisikia mpaka tumechoka sasa !
 
Kuna watumishi wa kada ya afya walitakiwa kupewa pesa ya Corona wakati huo majina yao yakatoka yakabandikwa ukutani na mchanganuo wa pesa ukawekwa 😆
Na wakasainishwa kabisaaa

Lahaula hakuna pesa iliyotoka hata mia

Anayebisha aulizie kama nasema uongo
 
Back
Top Bottom