Daraja2
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 285
- 346
Habari wapendwa,
Kuna raia mtaani nimewasikia wakisema "wakiungana na kuanzisha chama watashinda"
Napenda kusema,watu hao hawajielewi na wapo katika kundi la "intellectual impairment" kwa sababu gani ?
(1). Wameshindwa kusoma alama za nyakati.
(2) Kutokana na uwezo mdogo (IQ) wa kuchambua mambo wanashindwa kujisimamia wao wenyewe "kiakili" yaani ni wale wa "kushikiliwa akili"
3. Wameshindwa kuwatofautisha hao 2 katika nyanja ya kiakili,kijamii na kiutamaduni.
Kutokana na tofauti zao kubwa miongoni mwao hawawezi kukaa chungu kimoja.
Nimalizie kwa hitimisho " Polepole amemuacha mbali sana Gwajboy na kwa suala la Urais nani anafaa naomba nipokee sm kwanza nitarudi baadaye kidogo.
Kuna raia mtaani nimewasikia wakisema "wakiungana na kuanzisha chama watashinda"
Napenda kusema,watu hao hawajielewi na wapo katika kundi la "intellectual impairment" kwa sababu gani ?
(1). Wameshindwa kusoma alama za nyakati.
(2) Kutokana na uwezo mdogo (IQ) wa kuchambua mambo wanashindwa kujisimamia wao wenyewe "kiakili" yaani ni wale wa "kushikiliwa akili"
3. Wameshindwa kuwatofautisha hao 2 katika nyanja ya kiakili,kijamii na kiutamaduni.
Kutokana na tofauti zao kubwa miongoni mwao hawawezi kukaa chungu kimoja.
Nimalizie kwa hitimisho " Polepole amemuacha mbali sana Gwajboy na kwa suala la Urais nani anafaa naomba nipokee sm kwanza nitarudi baadaye kidogo.