Polepole ni zaidi ya Gwajima

Polepole ni zaidi ya Gwajima

Daraja2

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
285
Reaction score
346
Habari wapendwa,
Kuna raia mtaani nimewasikia wakisema "wakiungana na kuanzisha chama watashinda"

Napenda kusema,watu hao hawajielewi na wapo katika kundi la "intellectual impairment" kwa sababu gani ?

(1). Wameshindwa kusoma alama za nyakati.

(2) Kutokana na uwezo mdogo (IQ) wa kuchambua mambo wanashindwa kujisimamia wao wenyewe "kiakili" yaani ni wale wa "kushikiliwa akili"

3. Wameshindwa kuwatofautisha hao 2 katika nyanja ya kiakili,kijamii na kiutamaduni.
Kutokana na tofauti zao kubwa miongoni mwao hawawezi kukaa chungu kimoja.

Nimalizie kwa hitimisho " Polepole amemuacha mbali sana Gwajboy na kwa suala la Urais nani anafaa naomba nipokee sm kwanza nitarudi baadaye kidogo.
 
Back
Top Bottom