mtanikumbuka
Member
- Jan 14, 2017
- 67
- 73
Nappe kajipoteza mwenyewe japo alistahili heshima kubwa kwenye chama na hata nchini kwa ujumla kama angesiliza ushauli wa wengi alipaswa kukaa Kimya sio kutafuta kick za mitandaoni kama mtoto mdogo unaiga kuna kwa tembo