Polepole na wenzake wasingetamani kusikia Rais Samia akigombea 2025, Nawakumbusha Rais Samia yupo hadi 2030

Polepole anawakilisha kundi la watu ndani ya CCM ambao hawataki na wasingependa kusikia Rais Samia Suluhu Hassan akifanya vizuri na kuipaisha awamu ya Tano.
Polepole na wenzake wasingependa kuona Rais Samia akigombea kwa awamu nyingine mwaka 2025, wanatamani Rais Samia aishie 2025.
Polepole anawakilisha kundi la watuwenye wivu na awamu ya sita.
Polepole anatoa siri za mipango ya watu wabaya ambao hawana nia nzuri na Rais Samia. Shime watanzania tumuombee Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Polepole anawakilisha kundi lenye hofu ya kuondolewa katika utawala, kundi ambalo kwa muda wote lilikua linatukana wastaafu na watu waliopita kuwa hawana maana yoyote, sasa wamekuwa na hofu ya kulipiziwa kisasi.
Namkumbusha polepole na kundi lao kuwa ukipoteza pambano jipange kwenye pambano lijalo la sivyo utauwawa.
Nawakumbusha kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu ni MH. SAMIA SULUHU HASSAN
Kwa hiyo wewe kwa kujipendekeza kwako umeshampa Samia Urais 2025 hata kabla ya kufanyika uchaguzi? Kwa taarifa yako Watanzania walio wengi hawampendi huyo Samia wenu tena kundi hilo lisilompenda huyo mama wengi ni akina mama
 
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kulazimisha jambo?You don't love our president. Nyie ndiyo mnaomchafua. Yaani mmemfanya aonekane ni adui wa polepole wakati siyo kweli. Credibility au kupendwa kwa mama hakutokani na matusi kwa polepole ambaye basically ana matatizo yake. Instead, mama atapendwa kwa utendaji kazi wake. Wananchi wanahitaji kuona maisha yao yanabadilika particularly kwenye bei za vitu ambazo have nothing to do with polepole. Please learn to love our president. Tell her the truth. Pamoja na upuuzi wake wote, wananchi walimpenda sana JPM kwa sababu he touched their lives. Please learn and understand.
Nipo hapa mashigo wakikubali na kukuelewa ni tag.
 
mleta Mada Ogopa sana Mtu ambaye siye muongeaji kwenye Chama chenu.
Unamshambulia Polepole kwa sababu umemsikia akizungumza
Kuna watu wapo kimya kwenye Chama lenu lakini wanatamani sana kuwa Rais na wanachukia kinachoendelea sasa hivi na hii Serikali
 
mleta Mada Ogopa sana Mtu ambaye siye muongeaji kwenye Chama chenu.
Unamshambulia Polepole kwa sababu umemsikia akizungumza
Kuna watu wapo kimya kwenye Chama lenu lakini wanatamani sana kuwa Rais na wanachukia kinachoendelea sasa hivi na hii Serikali
Ndio maana nimewataja si wametuma kipaza Sauti polepole
 
Kwa hiyo wewe kwa kujipendekeza kwako umeshampa Samia Urais 2025 hata kabla ya kufanyika uchaguzi? Kwa taarifa yako Watanzania walio wengi hawampendi huyo Samia wenu tena kundi hilo lisilompenda huyo mama wengi ni akina mama
Atashinda 86%
 
baba yako alitamani amalize 10 afu abadiili katiba iwe awamu ya miaka saba saba ili aanze tena... nini kimempata hata hiyo 10 ikamshinda kumaliza? - msimchulie maza wa watu kijana, tulia fanya yako. Hii nchi ipo kwenye uangalizi wa HEHOVA mwenyewe !!
Dikteta alizidisha maovu ndiomaana Mungu alimshika kwa mshiko wa nguvu,

Samia anaongoza kwa Haki
 
Polepole anawakilisha kundi la watu ndani ya CCM ambao hawataki na wasingependa kusikia Rais Samia Suluhu Hassan akifanya vizuri na kuipaisha awamu ya Tano.
Polepole na wenzake wasingependa kuona Rais Samia akigombea kwa awamu nyingine mwaka 2025, wanatamani Rais Samia aishie 2025.
Polepole anawakilisha kundi la watuwenye wivu na awamu ya sita.
Polepole anatoa siri za mipango ya watu wabaya ambao hawana nia nzuri na Rais Samia. Shime watanzania tumuombee Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Polepole anawakilisha kundi lenye hofu ya kuondolewa katika utawala, kundi ambalo kwa muda wote lilikua linatukana wastaafu na watu waliopita kuwa hawana maana yoyote, sasa wamekuwa na hofu ya kulipiziwa kisasi.
Namkumbusha polepole na kundi lao kuwa ukipoteza pambano jipange kwenye pambano lijalo la sivyo utauwawa.
Nawakumbusha kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu ni MH. SAMIA SULUHU HASSAN
Hivi mabeberu hawapo zama hizi ? tulizoea awamu ya tano kusikia 'katumwa na mabeberu'
 
Polepole anawakilisha kundi la watu ndani ya CCM ambao hawataki na wasingependa kusikia Rais Samia Suluhu Hassan akifanya vizuri na kuipaisha awamu ya Tano.
Polepole na wenzake wasingependa kuona Rais Samia akigombea kwa awamu nyingine mwaka 2025, wanatamani Rais Samia aishie 2025.
Polepole anawakilisha kundi la watuwenye wivu na awamu ya sita.
Polepole anatoa siri za mipango ya watu wabaya ambao hawana nia nzuri na Rais Samia. Shime watanzania tumuombee Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Polepole anawakilisha kundi lenye hofu ya kuondolewa katika utawala, kundi ambalo kwa muda wote lilikua linatukana wastaafu na watu waliopita kuwa hawana maana yoyote, sasa wamekuwa na hofu ya kulipiziwa kisasi.
Namkumbusha polepole na kundi lao kuwa ukipoteza pambano jipange kwenye pambano lijalo la sivyo utauwawa.
Nawakumbusha kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu ni MH. SAMIA SULUHU HASSAN
Wanasumbuka bure 😆😆😆😆
 
Mama anaupiga mwingi, penye uhai na uzima ikija uchafuzi mkuu 2025 mi 10 tena, mpaka 2035. Hii mi4 anamalizia ya Mwenda zake.
Ikiwapendeza tume ya uchafuzi Tanzagiza wampitishe tu mama kwa hiyo miaka 10 , mijihela yetu ya kodi wakwezi, wavuvi, wakulima na wauza utumbo wa kuku na wamachinga wawekeze kwenye maji, mishahara ya walimu na madaktari, umeme na barabara tu.
Albaki 99% wagawane wao na familia zao , watatulipa tu in sha Allah siku ya hesabu aka Kiyama.
 
Nitakuwepo

Roho zinawauma
Utakuwepo!? Sawa wewe uliyeiona kesho. Ila usisahau Alikuwepo jpm aliyetisha mpaka wa chamani mwake, atakuwa huyu ambaye hata mwaka hana tayari kashaanza kelele za 2025! Hajiamini, ni wazi anajua makada ndani ya chama wanautaka huo Urais 2025. Kazi kwake kuwadhibiti. Ila ni wazi hiyo 2025 atafika amechoka sana, endapo atafika lakini.
 
Polepole anawakilisha kundi la watu ndani ya CCM ambao hawataki na wasingependa kusikia Rais Samia Suluhu Hassan akifanya vizuri na kuipaisha awamu ya Tano.
Polepole na wenzake wasingependa kuona Rais Samia akigombea kwa awamu nyingine mwaka 2025, wanatamani Rais Samia aishie 2025.
Polepole anawakilisha kundi la watuwenye wivu na awamu ya sita.
Polepole anatoa siri za mipango ya watu wabaya ambao hawana nia nzuri na Rais Samia. Shime watanzania tumuombee Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Polepole anawakilisha kundi lenye hofu ya kuondolewa katika utawala, kundi ambalo kwa muda wote lilikua linatukana wastaafu na watu waliopita kuwa hawana maana yoyote, sasa wamekuwa na hofu ya kulipiziwa kisasi.
Namkumbusha polepole na kundi lao kuwa ukipoteza pambano jipange kwenye pambano lijalo la sivyo utauwawa.
Nawakumbusha kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu ni MH. SAMIA SULUHU HASSAN
Ili Rais apendwe njia moja kuu ni kutawala kwa haki .Manake asiwabague watu kwa vyama VYAO au dini zao na pia maendeleo ya watu ndo kiwe kipaumbele chake .Nakupa mfano anatakiwa ashushe gharama za maisha kwa mahitaji mhimu ya maisha I mean basic needs.akifanya hivo Kila mtu atampenda nje ya hapo hakuna kitu .Vitu vinapanda Bei na Hali ya maisha ngumu nana atampenda ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo wewe kwa kujipendekeza kwako umeshampa Samia Urais 2025 hata kabla ya kufanyika uchaguzi? Kwa taarifa yako Watanzania walio wengi hawampendi huyo Samia wenu tena kundi hilo lisilompenda huyo mama wengi ni akina mama
Wewe ni mkongwe kabisa hapa jukwaani, naweza kuamini maneno yako based experience.
 
Polepole anawakilisha kundi la watu ndani ya CCM ambao hawataki na wasingependa kusikia Rais Samia Suluhu Hassan akifanya vizuri na kuipaisha awamu ya Tano.
Polepole na wenzake wasingependa kuona Rais Samia akigombea kwa awamu nyingine mwaka 2025, wanatamani Rais Samia aishie 2025.
Polepole anawakilisha kundi la watuwenye wivu na awamu ya sita.
Polepole anatoa siri za mipango ya watu wabaya ambao hawana nia nzuri na Rais Samia. Shime watanzania tumuombee Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Polepole anawakilisha kundi lenye hofu ya kuondolewa katika utawala, kundi ambalo kwa muda wote lilikua linatukana wastaafu na watu waliopita kuwa hawana maana yoyote, sasa wamekuwa na hofu ya kulipiziwa kisasi.
Namkumbusha polepole na kundi lao kuwa ukipoteza pambano jipange kwenye pambano lijalo la sivyo utauwawa.
Nawakumbusha kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu ni MH. SAMIA SULUHU HASSAN
Exactly, na Mimi pia kura yangu nitampa, nimeona MH. RAIS, vile anafanya kazi kwa uzarendo mkubwa...Leo hii kila mkoa, halmashaur, shule, nk miradi inaendelea vizuri hela Znatolewa. GOD BLESS OUR PRESIDENT, HON. SSH. AMEN🙏🏼
 
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kulazimisha jambo?You don't love our president. Nyie ndiyo mnaomchafua. Yaani mmemfanya aonekane ni adui wa polepole wakati siyo kweli. Credibility au kupendwa kwa mama hakutokani na matusi kwa polepole ambaye basically ana matatizo yake. Instead, mama atapendwa kwa utendaji kazi wake. Wananchi wanahitaji kuona maisha yao yanabadilika particularly kwenye bei za vitu ambazo have nothing to do with polepole. Please learn to love our president. Tell her the truth. Pamoja na upuuzi wake wote, wananchi walimpenda sana JPM kwa sababu he touched their lives. Please learn and understand.
Umemaliza uzi ulitakiwa kuiishia hapa
 
Back
Top Bottom