mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Kwa hiyo wewe kwa kujipendekeza kwako umeshampa Samia Urais 2025 hata kabla ya kufanyika uchaguzi? Kwa taarifa yako Watanzania walio wengi hawampendi huyo Samia wenu tena kundi hilo lisilompenda huyo mama wengi ni akina mamaPolepole anawakilisha kundi la watu ndani ya CCM ambao hawataki na wasingependa kusikia Rais Samia Suluhu Hassan akifanya vizuri na kuipaisha awamu ya Tano.
Polepole na wenzake wasingependa kuona Rais Samia akigombea kwa awamu nyingine mwaka 2025, wanatamani Rais Samia aishie 2025.
Polepole anawakilisha kundi la watuwenye wivu na awamu ya sita.
Polepole anatoa siri za mipango ya watu wabaya ambao hawana nia nzuri na Rais Samia. Shime watanzania tumuombee Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Polepole anawakilisha kundi lenye hofu ya kuondolewa katika utawala, kundi ambalo kwa muda wote lilikua linatukana wastaafu na watu waliopita kuwa hawana maana yoyote, sasa wamekuwa na hofu ya kulipiziwa kisasi.
Namkumbusha polepole na kundi lao kuwa ukipoteza pambano jipange kwenye pambano lijalo la sivyo utauwawa.
Nawakumbusha kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu ni MH. SAMIA SULUHU HASSAN