Egnecious
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 894
- 994
POLEPOLE NA UONGO USIO NA USHAHIDI
Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo:
1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
2. Swala la ubadhilifu wa pesa ni la uongo kwa sababu kila pesa inayotoka kwenda kwenye mradi huwa ni lazima iidhinishwe na Bunge. Kama kutakuwa na ubadhilifu wa pesa, ripoti ya CAG ndiyo huwa inakuja kusema hayo. Je, ripoti ya CAG iliyaona hayo? Ikiwa haikuyaona, basi Polepole naye atakuwa miongoni mwa wapigaji hao anaowataja.
3. Wakati huo Polepole alikuwa ni Mwenezi wa Chama, nafasi ambayo ilimpa wajibu wa kuunga mkono na kusimamia utekelezaji wa miradi ya Serikali. Kama kweli aliona kuna tatizo, kwa nini hakulitolea maelezo akiwa ndani ya mfumo? Kwa nini asubiri leo aje na tuhuma zisizo na ushahidi?
Hapo ndipo inakuja hoja ya kusema kuwa Polepole amekuja kuichafua Serikali ya Awamu hii baada ya kuona hajatimiza majukumu yake ipasavyo na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.
Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo:
1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia ni mradi ambao uliidhinishwa na Bunge/Serikali kwa ujumla.
2. Swala la ubadhilifu wa pesa ni la uongo kwa sababu kila pesa inayotoka kwenda kwenye mradi huwa ni lazima iidhinishwe na Bunge. Kama kutakuwa na ubadhilifu wa pesa, ripoti ya CAG ndiyo huwa inakuja kusema hayo. Je, ripoti ya CAG iliyaona hayo? Ikiwa haikuyaona, basi Polepole naye atakuwa miongoni mwa wapigaji hao anaowataja.
3. Wakati huo Polepole alikuwa ni Mwenezi wa Chama, nafasi ambayo ilimpa wajibu wa kuunga mkono na kusimamia utekelezaji wa miradi ya Serikali. Kama kweli aliona kuna tatizo, kwa nini hakulitolea maelezo akiwa ndani ya mfumo? Kwa nini asubiri leo aje na tuhuma zisizo na ushahidi?
Hapo ndipo inakuja hoja ya kusema kuwa Polepole amekuja kuichafua Serikali ya Awamu hii baada ya kuona hajatimiza majukumu yake ipasavyo na kutekwa na mabepari wa nje kwa kulipwa fedha nyingi.