Polepole na Bashiru hawakulelewa na CCM !

Polepole na Bashiru hawakulelewa na CCM !

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,886
Reaction score
5,623
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Umelelewa na wazazi wako na sio Ccm.
Mantiki yako imekaaje??
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Ushahidi please , mbona walio lelewa miaka mingi ndiyo wameifikisha nchi hapa ilipo na kuuza Mali za nchi yetu Kwa miaka mingi Kwa wageni , mm nadhani hapa siyo kuzaliwa au kutoka ukoo wa ccm hapa msingi je katika wakati wake aliweza kufanya nini Cha maana katika chama au kwenye ubaloz
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Kwa hiyo tukusaidie nini ?
Umemaliza dose yako ?
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndaniya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
CCM inalea Vilaza, majangili, wezi na mafisadi sio wazalendo.
 
Ccm ukisema ukweli tu wewe tayari ni adui....mnapenda vitu vya kijinga sana, hakuna anaejali maslahi ya taifa na watanzania, ni matumbo na uchawa tu ovyoooo
 
Waraka kwa dikteta umeshafika,unahangaika nini sasa,kama hakulellewa na ccm wewe inakusaidia nini
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Ila katika uongozi wao Polepole na Bashiru ndipo heshima iliyopotea ya CCM kwa Wananchi ilirudi.Na sasa waliolelewa na CCM wameizamisha tena CCM kurudi kuchukiwa na Wananchi tena!🤣🤣🤣
 
Huo ndo upumbavu na wanaotanguliza chama Kwanza ni wale walioshiba wanogopa wezi wa mali za Umma kwa mgongo wa chama nafikiri watu wengi wako CCM lakini hawajui msingi ya Uanzishwaji wa chama cha mapinduzi kila chama ni cha wafanyakazi na wakulima sio wezi wa mali za Umma
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
kama haujui, hao ndio walishauriana na magu hadi mama yako akawekwa hapo. usisahau fadhila zao.
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Tulizeni vishuzi wacheni watu waseme ukweli ambao nyie vidampa hamuujui , nyie mnaishia kutupiwa t shirt na kujiona ndiyo mnaijua CCM.
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Polepole alivyojua kuwa post ya ubalozi na uteuzi wa ubunge sasa umeshafika tamati, ameanza kupata degedege
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Kulelewa na ccm si kigezo cha kuwa kiongozi, si kegezo cha kuwa na mapenzi na chama
 
Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!

Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.

Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!

Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Hujui kitu

Teeth n ccm damu damu

Kuwa katibu kiongozi ndani ya jumba jeupe awaingi mambubugila mbugila mule ndani lazima uwe mmoja wao.
 
Back
Top Bottom