Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,886
- 2,539
Kombo jina maarufu Tanga pia. Sijui Kombo huyu wa wapi.
Tanga huwa wanasema "USHANIFAHAMU?".Kombo jina maarufu Tanga pia. Sijui Kombo huyu wa wapi.
Wamezoea kuwatumia TISS ili wawatumie na kuwapandikiza makada wao kwenye vyama vya upinzani. Sasa nyoka yu chumbaniHaya ndio mnayajua leo baada ya kuondoka chumbani kwenu?
Heshima waliyoirejesha CCM hao kina polepole na Bashiru niIla katika uongozi wao Polepole na Bashiru ndipo heshima iliyopotea ya CCM kwa Wananchi ilirudi.Na sasa waliolelewa na CCM wameizamisha tena CCM kurudi kuchukiwa na Wananchi tena!🤣🤣🤣
Nyoooo!kama haujui, hao ndio walishauriana na magu hadi mama yako akawekwa hapo. usisahau fadhila zao.
Wakati haya yanatokea wewe ulikuwa wapi?Nyoooo!
Magu mwenyewe aliwekwa tu. Wakati Magu anawekwa Bashiru alikuwa mwanaCUF na hicho kislowslow kilikuwa kimwanaharakati tu cha Warioba. Wameanza kukutana na Magu tayari Mama ni Makamu na alipokufa Magu wakaandaa zengwe kumkataa
kuna shida gani kwa mzanzibari kuzunguzia hiyo issue??kwa wasiojua, ubini wa KOMBO ni la kizanzibari. hakuna chochote cha maana ataongea hapo.
Sawa ila ni wazalendo sana hilo linatosha..Humphrey Polepole na Bashiru Ali hawa ni WanaCCM walioibuliwa na Hayati John Pombe Magufuli!!
Hawana historia yoyote ya kuwahi kuwa na mapenzi na CCM hapo kabla ya kuibuliwa na Magufuli!
Waonyeshe kadi zao walizipata lini na wapi kama siyo kadi za michongo.
Mtu aliyelelewa vizuri na CCM hawezi kuandika barua kama aliyoandika Polepole kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM!
Polepole ni mmoja wa matunda ya kukurupuka ndani ya CCM ya kudhani kila uamuzi wa kumfanya yeyote kuwa mwana CCM ni sahihi!
Nadhani mantiki yake ndio iko hapo; kwamba waliolelewa na ccm huaga hawajali kabisa mambo ya nchi, wizi, ufisadi na kutokufata taratibu na katiba ndio mambo ya ccm; akitokea mtu mwenye anapenda ufataji wa utaratibu, lazima wamshangaeUshahidi please , mbona walio lelewa miaka mingi ndiyo wameifikisha nchi hapa ilipo na kuuza Mali za nchi yetu Kwa miaka mingi Kwa wageni , mm nadhani hapa siyo kuzaliwa au kutoka ukoo wa ccm hapa msingi je katika wakati wake aliweza kufanya nini Cha maana katika chama au kwenye ubaloz