Tetesi: Polepole kugombea urais October 2025

Tetesi: Polepole kugombea urais October 2025

Mazungumzo na vyama mbalimbali vya siasa yaendelea.

Mnyetishaji wa tetesi hii anadai, muungwana atoa sharti kwa vyama vyote vya upinzani nchini kuweka kando tofuti zao na kuungana ikiwa wanataka mabadiliko ya kweli.

Mnyetishaji ameendelea kueleza kwamba muungwana amejiuzulu ili apate nafasi ya kugombea urais.

Je, atatoboa mbadhirifu huyu mtakatifu wa mali za umma?
una maoni gani?

Mungu Ibariki Tanzania
Chawa🚮🚮🚮🚮
 
La
Mazungumzo na vyama mbalimbali vya siasa yaendelea.

Mnyetishaji wa tetesi hii anadai, muungwana atoa sharti kwa vyama vyote vya upinzani nchini kuweka kando tofuti zao na kuungana ikiwa wanataka mabadiliko ya kweli.

Mnyetishaji ameendelea kueleza kwamba muungwana amejiuzulu ili apate nafasi ya kugombea urais.

Je, atatoboa mbadhirifu huyu mtakatifu wa mali za umma?
una maoni gani?

Mungu Ibariki Tanzania
Labda kupitia chauma
 
Kuchagua na kuchaguliwa ni haki ya kila mtanzania , ila mashaka ni chama kitakachompa jukwaa hilo.
Tusubiri tuone.
 
Mazungumzo na vyama mbalimbali vya siasa yaendelea.

Mnyetishaji wa tetesi hii anadai, muungwana atoa sharti kwa vyama vyote vya upinzani nchini kuweka kando tofuti zao na kuungana ikiwa wanataka mabadiliko ya kweli.

Mnyetishaji ameendelea kueleza kwamba muungwana amejiuzulu ili apate nafasi ya kugombea urais.

Je, atatoboa mbadhirifu huyu mtakatifu wa mali za umma?
una maoni gani?

Mungu Ibariki Tanzania
Siku hizi munawapa ubarozi wabadhirifu? Nani sasa msafi huko CCM.

Mama yako ni mbadhirifu mara milioni na zaidi. Asigombee kwa hiyo?
 
Mazungumzo na vyama mbalimbali vya siasa yaendelea.

Mnyetishaji wa tetesi hii anadai, muungwana atoa sharti kwa vyama vyote vya upinzani nchini kuweka kando tofuti zao na kuungana ikiwa wanataka mabadiliko ya kweli.

Mnyetishaji ameendelea kueleza kwamba muungwana amejiuzulu ili apate nafasi ya kugombea urais.

Je, atatoboa mbadhirifu huyu mtakatifu wa mali za umma?
una maoni gani?

Mungu Ibariki Tanzania
Yes, atagombea na CHADEMA wote watamuunga mkono
 
Mazungumzo na vyama mbalimbali vya siasa yaendelea.

Mnyetishaji wa tetesi hii anadai, muungwana atoa sharti kwa vyama vyote vya upinzani nchini kuweka kando tofuti zao na kuungana ikiwa wanataka mabadiliko ya kweli.

Mnyetishaji ameendelea kueleza kwamba muungwana amejiuzulu ili apate nafasi ya kugombea urais.

Je, atatoboa mbadhirifu huyu mtakatifu wa mali za umma?
una maoni gani?

Mungu Ibariki Tanzania
Habari ya kuletwa na Tlatlaah nitakuwa wa mwisho,kuithibitisha hiyo habari.
 
Mazungumzo na vyama mbalimbali vya siasa yaendelea.

Mnyetishaji wa tetesi hii anadai, muungwana atoa sharti kwa vyama vyote vya upinzani nchini kuweka kando tofuti zao na kuungana ikiwa wanataka mabadiliko ya kweli.

Mnyetishaji ameendelea kueleza kwamba muungwana amejiuzulu ili apate nafasi ya kugombea urais.

Je, atatoboa mbadhirifu huyu mtakatifu wa mali za umma?
una maoni gani?

Mungu Ibariki Tanzania
Muhuni asiye na mke wala mchumba agombee Urais
 
Back
Top Bottom