Alipofikia ni Point of No Return.
Amevuka Point of Go Or No Go.
Hasiposema yale aliyotishia lazima atauw@w@ na adui zake.
Alipofikia salama yake ni kusema ukweli, kuweka zama mpya na kuuwa kabisa nguvu za wana mtandao. Kuondoa utawala wa CCM na kuvijenga vyama vipya.
Yasipotia haya hakika nakuambia Polepole hataishi zaidi ya miaka 5 toka tarehe 20 August 2025.
Tunza hii post yangu uje uniulize kiko wapi endapo hatosema aliyo ahidi jana na akafika August 2031.