Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,639
Wakati ule walipomtoa katika Ile kazi ya Katibu Mwenezi.
Wakampeleka kwenye Kamati ya Maadili for no clear reason.
Baadaye CCM wakaamua kwamba they will rehabilitate him . Wakampeleka Malawi kuwa balozi halafu Cuba. Ile ilikuwa change of heart for CCM. Kwa Polepole ilikuwa restoration and rehabilitation.
Kwa hiyo labda sasa Polepole yuko resentful na labda anataka kulipiza kisasi kwa haya maneno anavyosema.
Polepole amekuwa akisema kwamba CCM imwondoe Mama,iweke mgombea urais mwingine. Lakini kama CCM imeshakataa,hakuna sababu na hakuna tija kwa Polepole kuendelea kusema anataka Mama aondolewe.
Na mambo anayoongea sasa hivi yanakuwa ni distraction katika Uchaguzi.
Wakampeleka kwenye Kamati ya Maadili for no clear reason.
Baadaye CCM wakaamua kwamba they will rehabilitate him . Wakampeleka Malawi kuwa balozi halafu Cuba. Ile ilikuwa change of heart for CCM. Kwa Polepole ilikuwa restoration and rehabilitation.
Kwa hiyo labda sasa Polepole yuko resentful na labda anataka kulipiza kisasi kwa haya maneno anavyosema.
Polepole amekuwa akisema kwamba CCM imwondoe Mama,iweke mgombea urais mwingine. Lakini kama CCM imeshakataa,hakuna sababu na hakuna tija kwa Polepole kuendelea kusema anataka Mama aondolewe.
Na mambo anayoongea sasa hivi yanakuwa ni distraction katika Uchaguzi.