Kwanza yeye si mwanaCCM, amevamia chama chetu nani asiyejua.
Polepole awaeleze wanaCCM ktk ziara zake kabla ya kuingia ccm ametokea wapi na kadi yake ya CCM mbona hailingani na umri wake.
CCM ina wenyewe wasilete ukabila na ukanda ndani ya ccm, kwanza mwenyekiti wa chama ametumia influence yake kuzifanyia mabadilikl jumuiya za chama bila kuwashirikisha wahusika.
Kwa kufuta nafasi za makatibu wa jumuiya za chama wilaya na mikoa ina maana amewafukazi kazi waajiriwa hao zaidi ya 150.
Wasituharibie chama chetu, ambacho kwa kiasi kikubwa kinabebwa na mikoa ya kusini wala sio kanda ziwa , kusini wameingiza mikoa 5 katika mikoa 10 bora iliyoongoza kwa % za CCM kupata % nyingi za ushindi.