Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Ndio maana sishabikii chama chochote...

Sababu kwa Africa hata kwa mfano CDM kwa Tanzania wangeshika nchi, na wao wangekataa kuachia serikali kwa kuja na sheria zao za nywii nywii ili waedelee kuishi, tumeona Kenya wameshauwana sana kutokubali chama kingine kuachia halafu huko KANU kama CCM ilishajifia zamani, lakini haya mauaji ni kati ya vyama vipya....
Zanbia nao ni vile vile,....kila siku fujo wakati ZANU ilishakufa zamani....
 
Umesikia nchi ngapi zinaongea kupinga utekaji wa polepole ukilinganisha na Lissu. Sio swala la kukamatwa kila mtu anaweza kukamatwa lakini je nani atakupigania. Lissu kuna mpaka mabalozi wanaenda kwenye kesi lakini huyu mjamaa feki ndug yetu anatekwa na hakuna wakumtetea nje ya Tanzania kwasababu yeye mwenyewe alikuwa anapenda hizo serikali za kitekaji. Hata wakenya tu masikini yangu

Inaelekea hamjui nguvu ya Lissu kwamba nje ya Tanzania ni kubwa sana
Hiii issue imetokea jana. Anyway, you are missing the point. Haya sio mashindano ya nani anaongelewa na nchi ngapi. Huo ni utoto, distraction.

Jambo muhimu ni kupinga haya matendo maovu kwa raia yoyote wa Tanzania. Haki za msingi za raia zilizopo kwenye katiba ya JMT zinatakiwa kuheshimiwa.

Kama mtu yoyote ana makosa, amekosea akamatwe na polisi kwa mujibu wa sheria na sio kutekwa, kufikishwa mahakamani na sio kufichwa, kuteswa,kupotezwa, kuuwawa na haki itendeka akifikishwa mahakamani kwa mujibu wa sheria za JMT zetu na ushahidi usio na shaka.
 
Mabeberu hawana msaada wowote kwenye issue ambazo ni domestic.Ingekuwa wana msaada leo Tundulissu angekuwa huru maana ni mfuasi wa falsafa za kibepari.Kapigwa risasi kibao walisaidia nini?
Ukishasema neno beberu tayari kuna shida hapo,
Hakuna bure
 
Kila nchi ina matatizo yake sasa, Wenye nchi/wananchi msipopambana na hali yenu hakuna wa kuwasaidia.

Huu sio wakati wa siasa za kukomboa nchi kwenye mikono ya ukoloni.
 
Hiii issue imetokea jana. Anyway, you are missing the point. Haya sio mashindano ya nani anaongelewa na nchi ngapi. Huo ni utoto, distraction.

Jambo muhimu ni kupinga haya matendo maovu kwa raia yoyote wa Tanzania. Haki za msingi za raia zilizopo kwenye katiba ya JMT zinatakiwa kuheshimiwa.

Kama mtu yoyote ana makosa, amekosea akamatwe na polisi kwa mujibu wa sheria na sio kutekwa, kufikishwa mahakamani na sio kufichwa, kuteswa,kupotezwa, kuuwawa na haki itendeka akifikishwa mahakamani kwa mujibu wa sheria za JMT zetu na ushahidi usio na shaka.

Karibu sana sisi tumeongea haya kwa miaka 10 sasa naona ndiyo misukule mnatoka usingizini
 
Umesikia nchi ngapi zinaongea kupinga utekaji wa polepole ukilinganisha na Lissu. Sio swala la kukamatwa kila mtu anaweza kukamatwa lakini je nani atakupigania. Lissu kuna mpaka mabalozi wanaenda kwenye kesi lakini huyu mjamaa feki ndug yetu anatekwa na hakuna wakumtetea nje ya Tanzania kwasababu yeye mwenyewe alikuwa anapenda hizo serikali za kitekaji. Hata wakenya tu masikini yangu

Inaelekea hamjui nguvu ya Lissu kwamba nje ya Tanzania ni kubwa sana
TL ana connection kubwpa
 
Karibu sana sisi tumeongea haya kwa miaka 10 sasa naona ndiyo misukule mnatoka usingizini
Hoja yake ni kwamba Lissu angetekwa kungekuwa na Kelele nyingi. Kwamba unahamasisha watu wasijali sababu aliyetekwa ni Polepole sio? Unahamisha mjadala, nguvu kwenda sehemu ambayo haina tija, haisaidii Taifa.

Sasa hii hoja yako inatusaidiaje leo kukomesha huu uhuni? Ni maoni yako kwamba hizi issue za wahuni tuwaachie wewe na Lissu pekee wapambane nazo? Machawa wa Samia wanapenda iwe hivyo pia.

Wewe lengo lako inaonekana ungependa watu wakae kimya, unakerwa sana na watu wengi kujitokeza kupiga kelele haya matukio ya wahuni. Watekaji wangependa iwe hivyo, mpo timu moja na wahuni kwa kujua au kutokujua.

Upo tayari kujigawa na kugawanywa ndio maana mnatawaliwa na genge, familia chache za wahuni kwa kutumia uvyama, ukabila, dini, name calling.

Watanzania wengi wamevuka hizo level za kufikiri ndio maana unaona kelele nyingi za watu kutoka sehemu zote za Watanzania kwa yeyote anayetekwa upende usipende.
 
Maoni yanayopotosha kama haya huchukiza
Hao unaosema mabeberu huo msaada kwa nini hawautoi kwa wanaoonewa na kuuwawa Kenya, Uganda, Rwanda? Au huko napo wanaoonewa na kuuwawa ni wajamaa?
Yani nchini nyingine wakutolee msaada ambao upo ndani ya uwezo wa maamuzi ya wananchi?
 
Wasaliti mnatafuta kichaka cha kujisafisha usaliti wenu mlioufanya kwa polepole
 
Lissu sio mjamaa alikamatwa na Samia mbele ya maelfu ya wafuasi na wanachama wa chama chake na askari wachache tu. Wengi wamepiga kelele kumtetea Lissu including wasio wa chama chake kama Polepole, Warioba, Gwajima.

Hii ni issue ni kwa Watanzania wote kwa pamoja kukemea na kukataa uhuni wa hili genge. Sio kuanza kusema huyu ni mjamaa, bepari, cdm, ccm, Mkristo, muislamu, kafir.

Unawasaidia sana wahuni kwa kuwagawanya Watanzania na kuondoa focus na pressure kwa watekaji.
Umesema vema aisee
 
Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Ukiwa mjamaa hakuna wakukutetea maana wenyewe wanaamini chama kuliko uhai wa mtu. Polepole alipenda hizo nchi za kijamaa kama China, N Korea na Cuba sasa ubaya wa mifumo ya kijamaa ni ya mtu Mungu.

Polepole sasa ni ngumu kumuombea msaada kwa record zake za kuita nchi mebeberu! Hao Mabeberu ndiyo watetea haki za binadamu wale wachina na wa Cuba masikini hata rambirambi hawatoi maana wenyewe ubinadamu ni kitu cha mwisho uchawa na upambe ndiyo uko mbele

1759956908948.png
 
Back
Top Bottom