Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,269
Reaction score
13,895
Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Ukiwa mjamaa hakuna wakukutetea maana wenyewe wanaamini chama kuliko uhai wa mtu. Polepole alipenda hizo nchi za kijamaa kama China, N Korea na Cuba sasa ubaya wa mifumo ya kijamaa ni ya mtu Mungu.

Polepole sasa ni ngumu kumuombea msaada kwa record zake za kuita nchi mebeberu! Hao Mabeberu ndiyo watetea haki za binadamu wale wachina na wa Cuba masikini hata rambirambi hawatoi maana wenyewe ubinadamu ni kitu cha mwisho uchawa na upambe ndiyo uko mbele
 
Maoni yanayopotosha kama haya huchukiza
Hao unaosema mabeberu huo msaada kwa nini hawautoi kwa wanaoonewa na kuuwawa Kenya, Uganda, Rwanda? Au huko napo wanaoonewa na kuuwawa ni wajamaa?
 
Unawajua wajamaa kweli ? Acha kuandika upuuzi
 
Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Ukiwa mjamaa hakuna wakukutetea maana wenyewe wanaamini chama kuliko uhai wa mtu. Polepole alipenda hizo nchi za kijamaa kama China, N Korea na Cuba sasa ubaya wa mifumo ya kijamaa ni ya mtu Mungu.

Polepole sasa ni ngumu kumuombea msaada kwa record zake za kuita nchi mebeberu! Hao Mabeberu ndiyo watetea haki za binadamu wale wachina na wa Cuba masikini hata rambirambi hawatoi maana wenyewe ubinadamu ni kitu cha mwisho uchawa na upambe ndiyo uko mbele
Unafiri genge la wahuni linajali wewe ni bepari au mjamaa. Lissu yupo jela, kibao, chaula, sativa walitekwa hawa ni wajamaa?
 
Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Ukiwa mjamaa hakuna wakukutetea maana wenyewe wanaamini chama kuliko uhai wa mtu. Polepole alipenda hizo nchi za kijamaa kama China, N Korea na Cuba sasa ubaya wa mifumo ya kijamaa ni ya mtu Mungu.

Polepole sasa ni ngumu kumuombea msaada kwa record zake za kuita nchi mebeberu! Hao Mabeberu ndiyo watetea haki za binadamu wale wachina na wa Cuba masikini hata rambirambi hawatoi maana wenyewe ubinadamu ni kitu cha mwisho uchawa na upambe ndiyo uko mbele
Utumbo mtupu
Hao mabwana zako maeberu wamemsadiaje Tundu na Chadema? Wamewasaidia GenZ wa Kenya au Boby Whine wa Uganda?
Acha kuzungumza upuuzi na ujinga !!
 
lakini Lissu akipotea leo kelele ingekuwa tofauti!
Lissu sio mjamaa alikamatwa na Samia mbele ya maelfu ya wafuasi na wanachama wa chama chake na askari wachache tu. Wengi wamepiga kelele kumtetea Lissu including wasio wa chama chake kama Polepole, Warioba, Gwajima.

Hii ni issue ni kwa Watanzania wote kwa pamoja kukemea na kukataa uhuni wa hili genge. Sio kuanza kusema huyu ni mjamaa, bepari, cdm, ccm, Mkristo, muislamu, kafir.

Unawasaidia sana wahuni kwa kuwagawanya Watanzania na kuondoa focus na pressure kwa watekaji.
 
Ni kweli hata soka, alikibao,mdude na wengine zaidi ya 250 ni wajamaa
 
Labda mjamaa uchwara, umeona ile raba yake white? mjamaa ananunuaje raba ya bei kiasi kama ile?
 
Siku hizi hakuna mjamaa au bepari kwa 100%. Hizo ni lebo za kizamani. Zinatumika leo kuwagawanya watu. Chumi karibia zote ni mixed economies.
 
Lissu sio mjamaa alikamatwa na Samia mbele ya maelfu ya wafuasi na wanachama wa chama chake na askari wachache tu. Wengi wamepiga kelele kumtetea Lissu including wasio wa chama chake kama Polepole, Warioba, Gwajima.

Hii ni issue ni kwa Watanzania wote kwa pamoja kukemea na kukataa uhuni wa hili genge. Sio kuanza kusema huyu ni mjamaa, bepari, cdm, ccm, Mkristo, muislamu, kafir.

Unawasaidia sana wahuni kwa kuwagawanya Watanzania na kuondoa focus na pressure kwa watekaji.

Umesikia nchi ngapi zinaongea kupinga utekaji wa polepole ukilinganisha na Lissu. Sio swala la kukamatwa kila mtu anaweza kukamatwa lakini je nani atakupigania. Lissu kuna mpaka mabalozi wanaenda kwenye kesi lakini huyu mjamaa feki ndug yetu anatekwa na hakuna wakumtetea nje ya Tanzania kwasababu yeye mwenyewe alikuwa anapenda hizo serikali za kitekaji. Hata wakenya tu masikini yangu

Inaelekea hamjui nguvu ya Lissu kwamba nje ya Tanzania ni kubwa sana
 
Mabeberu hawana msaada wowote kwenye issue ambazo ni domestic.Ingekuwa wana msaada leo Tundulissu angekuwa huru maana ni mfuasi wa falsafa za kibepari.Kapigwa risasi kibao walisaidia nini?
 
Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

Ukiwa mjamaa hakuna wakukutetea maana wenyewe wanaamini chama kuliko uhai wa mtu. Polepole alipenda hizo nchi za kijamaa kama China, N Korea na Cuba sasa ubaya wa mifumo ya kijamaa ni ya mtu Mungu.

Polepole sasa ni ngumu kumuombea msaada kwa record zake za kuita nchi mebeberu! Hao Mabeberu ndiyo watetea haki za binadamu wale wachina na wa Cuba masikini hata rambirambi hawatoi maana wenyewe ubinadamu ni kitu cha mwisho uchawa na upambe ndiyo uko mbele
Ujamaa ushakufa toka miaka ya 90 Cuba ndio nchi ya mwisho kuachana na ujamaa
 
Back
Top Bottom