Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Au kuzidi hapo!!Channel Ten nowadays imekuwa kama TBC 2
Au kuzidi hapo!!Channel Ten nowadays imekuwa kama TBC 2
Upepo umefunua nyeti za kuku wanajaribu kuuficha kwa miguu ya kuku!!!Polepole anasema Nyalandu ameondoka CCM huku Ndungai spika wa Bunge anasema amefukuzwa kipi Ni kipi Nani anasema ukweli chama au Bunge.Mjipange