Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
TANESCO wamekata Umeme Eneo la Kurasini mpaka Kigamboni baada ya Mbunge wa (CCM) Ester Bulaya kumtaka Waziri Mkuu atoe maelezo kwa niaba ya Serikali kuhusu tatizo la fidia ya Wananchi wa Kigamboni inayopigwa danadana na Waziri Tibaijuka Poleni sana Wana-Kigamboni.
Hiyo ndio serikali sikivu ya CCM najua 2015 hamtofanya tena makosa kama ya 2010.
Kufanya kosa sio kosa kosa kurudia makosa kila jambo na uonevu wote huu una mwisho wake.
Hiyo ndio serikali sikivu ya CCM najua 2015 hamtofanya tena makosa kama ya 2010.
Kufanya kosa sio kosa kosa kurudia makosa kila jambo na uonevu wote huu una mwisho wake.