Poleni wanavyuo mnaotegemea HESLB...

Elai

Senior Member
May 26, 2011
154
9
Baada ya tume iliyoundwa na mh. Raisi kukamilisha kazi yake, ndio matatizo ya mikopo yameongezeka mara kadhaa. Wanafunzi wanaendesha maisha yao kwa kutegemea mikopo wamezidi kutengwa kutoka kwa wanafunzi wanaotoka familia bora wasiotegemea mikopo, ambao huwa darasani wenzao wanapozunguka na njaa wakifuatilia mikopo. Labda tushauri mihula ya masomo ya haya makundi mawili iwe tofauti, wa mikopo wasome wakati HESLB inakuwa na fedha!? Mvumilivu hula mbivu, mtafikia malengo yenu. Poleni st John, UDOM, Tumaini-Iringa kwani mmekwenda sikukuu hata majina ya mikopo hayajafika na muda ukiwa umepita, poleni na wengine wote.
 
Heslb nao wanaangalia na vyuo vya kuwafanyia huo upuuzi..mbona wenzao tumeisha pewa bumu la pili na tukiishiwa kabla ya wakat,tunakishnikza chuo kitukopeshe!
 
Kuna vyuo vingine havina hadhi ya kupewa mkopo. Nashauri TCU wapitie tena sheria zao vizuri.
 
Heslb nao wanaangalia na vyuo vya kuwafanyia huo upuuzi..mbona wenzao tumeisha pewa bumu la pili na tukiishiwa kabla ya wakat,tunakishnikza chuo kitukopeshe!

kuna vyuo huwa uhuni hawafanyiwi. Nimesoma SUA sijawahi sikia matatizo sana ya bumu. Huwa yalikuwa yanatokea ila hayadumu kwa muda mrefu sana.
 
kuna vyuo huwa uhuni hawafanyiwi. Nimesoma SUA sijawahi sikia matatizo sana ya bumu. Huwa yalikuwa yanatokea ila hayadumu kwa muda mrefu sana.

kwa kweli udsm na sua vnaangaliwa kwa ukaribu sana na heslb,hvi vyuo vingne cjui ndo wanavidharau au vp!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom