Poleni wana CHAPUTA mkoa wa Dar es salaam

Poleni wana CHAPUTA mkoa wa Dar es salaam

Vitalis Msungwite

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2014
Posts
3,313
Reaction score
7,961
Mimi kama kiongozi mwandamizi wa CCWT kwaniaba ya wanachama, tuna cha kusema kwa wanachama wa chama pacha na chetu. Sisi wana CCWT ( Chama Cha Wachepukaji Tanzania) tunatoa pole kwa wenzetu Wapiga Punyeto Tanzania (CHAPUTA) kufuatia agizo la mkuu wao wa mkoa. Tumesikia na kuona kuwa ifikapo juma tatu muwe mmefuta catalyst/vichochezi/ viamba upishi/ pilau /vitendea kazi vyenu. Tunatambua kuwa mnapitia magumu lakini msikate tamaa, kwani hata wanachama wetu walipitia magumu walipofukuzwa Dada zetu na wateja wa sisi CCWT.

Pole zaidi kwa waliokuwa wanazipata kwa kirushiwa kwa Bluetooth na xender maana nyie mtapata taabu sana. Ila wenye bando najua ni mwendo wa online videos tu, na sina shaka na website za kuangalia kwasababu moja ya msingi wa CHAPUTA ni kujua vyanzo vya pilau.

Nasubiri tamko la viongozi wa CHAPUTA kuhusiana na agizo lililopo.
 
VPN zipo. Tunazama humu anonymously
IMG-20181003-WA0009.jpeg
 
Amejiwekea malengo makubwa sana, ngoja jumatatu ifike tuone
 
Bora angalau nita pumzika maaana nimechoka sasa kupiga puchu kila saaaaaaa
 
Hapa nakaa bakabencha uku sitaki haraka mwendo wa kuangalia mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom