JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba aliwaonea wivu Viongozi Wakuu Wastaafu kwenye msiba wa Kadinali Pengo baada ya kushangiliwa

JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba aliwaonea wivu Viongozi Wakuu Wastaafu kwenye msiba wa Kadinali Pengo baada ya kushangiliwa

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Bodi ya Ithibati ya waandishi wa habari haikuona Majaliwa akishangiliwa?

---
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa habari Mwandamizi Paschal Mayala kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye kipindi cha JAMBO ASUBUHI kinachorushwa na Jambo Television kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mwigulu Nchemba alichukizwa na kitendo cha waombolezaji waliokuwa kwenye ibada ya mazishi ya Marehemu Kadrinali Pengo kuwashangilia viongozi wakuu wastaafu akiwemo Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Dkt.Philip Mpango, Jaji Joseph Warioba na Mizengo Pinda huku yeye (Mwigulu) akikosa kushangiliwa msibani hapo.

Pia soma
BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WAANDISHI WA HABARI MAYALLA NA NGOTO WAONYWA UKIUKWAJI MAADILI​

Dar es Salaam, 03 Machi, 2026

Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), kwa mujibu wa mamlaka iliyopewa chini ya Sheria ya Huduma za Habari na Kanuni zake, ilifanya kikao cha majadiliano na Mtangazaji WILBERFORCE NGOTO pamoja na Mchambuzi wa masuala ya kisiasa PASCAL MAYALLA, wote wakiwa Waandishi wa Habari Wenye Ithibati, kufuatia maudhui yaliyotolewa katika kipindi cha Jambo Asubuhi kinachorushwa na Jambo TV.

Kikao hicho kililenga kujadili kipande cha taarifa chenye kichwa: "Mwigulu hakufurahia akina Majaliwa kushangiliwa msibani", kilichosambazwa mtandaoni. Baada ya majadiliano ya kina, Bodi ilibaini kuwa maudhui hayo yalikuwa na upungufu wa kimaadili, yakihusisha hitimisho lisilothibitishwa na kichwa cha habari chenye taswira ya shambulio binafsi bila kuwa na vielelezo vya kuthibitisha muktadha halisi wa madai yaliyotolewa.

Wahusika walikiri makosa, kuomba radhi na kuahidi kuimarisha umakini na weledi katika vipindi vijavyo. Kwa kuzingatia utayari wao wa kurekebisha makosa, Bodi imewapa ONYO na kuwataka kuzingatia maadili, nidhamu na misingi ya taaluma.

Bodi inasisitiza kuwa lengo lake si kuminya uhuru wa habari, bali kulinda hadhi ya taaluma na kuimarisha uwajibikaji. Ikumbukwe kuwa uhuru wa kukosoa unatambuliwa katika Kifungu cha 52(2) cha Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229, hata hivyo uhuru huo unapaswa kutekelezwa kwa kuzingatia ukweli, uthibitisho wa taarifa, staha na kuepuka mashambulizi binafsi.

IMETOLEWAΑ ΝΑ: -
Patrick Kipangula
Kaimu Mkurugenzi Mkuu
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB)

Ithibati.jpg
 
Bodi ya Ithibati ya waandishi wa habari haikuona Majaliwa akishangiliwa?

---
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa habari Mwandamizi Paschal Mayala kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye kipindi cha JAMBO ASUBUHI kinachorushwa na Jambo Television kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mwigulu Nchemba alichukizwa na kitendo cha waombolezaji waliokuwa kwenye ibada ya mazishi ya Marehemu Kadrinali Pengo kuwashangilia viongozi wakuu wastaafu akiwemo Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Dkt.Philip Mpango, Jaji Joseph Warioba na Mizengo Pinda huku yeye (Mwigulu) akikosa kushangiliwa msibani hapo.

Hahaha! Kwani wivu unaonekana ili kusema Pascal angeupiga picha na kutoa kama ushahidi?

Hao watu wa Bodi waulizwe, wake zao wanapokuwa na wivu, au wao wenyewe wanapomwonea mtu wivu, mtu atathibitishaje kuwa wanaona wivu?
 
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa habari Mwandamizi Paschal Mayala kuthibitisha kauli yake
Bodi ya ithibati ndio nini?

Hiyo "bodi" ni Kibaraka wa Mwigulu au Mwigulu amewanunua kumfanyia u CHAWA?

Hizo ni sarakasi za kijima za kufunga watu midomo na kukiuka haki ya Kikatiba ya raia kutoa maoni
 
Mwandishi Paschal Mayala amepewa masaa 24 kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye kipindi cha JAMBO ASUBUHI kinachorushwa na Jambo Television kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mwigulu Nchemba alichukizwa na kitendo cha waombolezaji waliokuwa kwenye ibada ya mazishi ya Marehemu Kadrinali Pengo kuwashangilia viongozi wakuu wastaafu akiwemo Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Dkt.Philip Mpango, Jaji Joseph Warioba na Mizengo Pinda huku yeye (Mwigulu) akikosa kushangiliwa msibani hapo
 
Mwandishi Paschal Mayala amepewa masaa 24 kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye kipindi cha JAMBO ASUBUHI kinachorushwa na Jambo Television kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mwigulu Nchemba alichukizwa na kitendo cha waombolezaji waliokuwa kwenye ibada ya mazishi ya Marehemu Kadrinali Pengo kuwashangilia viongozi wakuu wastaafu akiwemo Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Dkt.Philip Mpango, Jaji Joseph Warioba na Mizengo Pinda huku yeye (Mwigulu) akikosa kushangiliwa msibani hapo

Pascal Mayalla
 
Bodi ya Ithibati ya waandishi wa habari haikuona Majaliwa akishangiliwa?

---
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa habari Mwandamizi Paschal Mayala kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye kipindi cha JAMBO ASUBUHI kinachorushwa na Jambo Television kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mwigulu Nchemba alichukizwa na kitendo cha waombolezaji waliokuwa kwenye ibada ya mazishi ya Marehemu Kadrinali Pengo kuwashangilia viongozi wakuu wastaafu akiwemo Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Dkt.Philip Mpango, Jaji Joseph Warioba na Mizengo Pinda huku yeye (Mwigulu) akikosa kushangiliwa msibani hapo.

Pia soma
Kwa hiyo Paskali hana ruhusa ya kuzungumza maoni yake? Yale yalikuwa ni maoni yake as per flow of sequences kwenye shughuli ya kuuaga mwili wa Cardinal Pengo, nothing more nothing less.
NB: I saw this coming ndiyo maana nilisema Paskali kaamua kujivisha mabomu💣💣 na obviously hayo ni maagizo kutoka kwa Mwigulu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom