Pole Mstaafu Jakaya Kikwete

 
Ujumbe uwafikie watawala wote pamoja na yule bibi,,ipo siku vyote mlivyoiba au kuchukua visivyo haki mtaviacha mtakwenda peke yenu kama mlivyo..uyo hayat uyo ameacha nyumba za kifahar zaid ya kumi....
 
Uko wapi leo nkuletee ile chupa yako pendwa kubwa kubwa mkuu?? Pole mzee wetu jah kaya
 
Nasikia kaburini kuna joto na upweke. Hasa kama ulikuwa muovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…