Sauti ya January Makamba katika Mazungumzo ya chakula cha jioni na Wachungaji & Maaskofu mkoani Mwanza Disemba 25 2013. Bofya hapa:
https://soundcloud.com/jmakamba/mazungumzo-katika-chakula-cha
Moderators, ombi kuiweka hii audio mwanzo kabisa wa uzi huu. Natanguliza shukurani:
- Paw,
- PainKiller,
- Fang,
- Buchanan,
- Cookie
kamanda mbona iko edited...plz mshauri january nyota yake imefifi kama ya membe na sumaye atulie,hapo alipofika ni msaada tu wa baba yake kutumia ukatibu mkuu wa chama kujinufaisha na familia yake,hana sifa zozote za kuwaconvice watanzania kiutendaji hana creativity yoyote pia hatuwezi kuongozwa na mtu aliyepata div four form six the guy ni kilaza kabebwabebwa tu,afanye kazi tuzione ndio japo atakuwa recognazed kama akina mwakiembe au magufuli
When my father was moved (once again) to Lindi to become Regional Party Secretary, I had to move to a boarding school: So, I joined Galanos Secondary School, a more established if not reputable government school in the outskirts of the city of Tanga. I was a very good student there, almost always and effortlessly first in class. I was also very popular, outspoken and fearless. I ran for Deputy Head Prefect and won handily against a candidate favoured by the teachers (in old government boarding schools, the election of the student government body is a very serious matter). I was a very unconventional student leader as I clashed often with teachers over students rights, particularly poor state of food. Also, I did not quite fully use all the privileges that came of DHP position.
I was expected to do well at national secondary education exams. I chose to pursue CBA Chemistry, Biology and Agriculture as my combination for High School studies. The main reason for this choice was that it was an exclusive and a highly competitive combination. There was only one high school Kibaha Secondary School in the country taking only 34 students for this combination. So, I chose this because it was hard to get to high school on this. I was thrilled and moved by the challenge. So, we did our exams and the day to go and look for the result came. And, to the shock of friends and family and teachers, my name was not there in the results sheet. I felt like collapsing. I went to another result centre thinking that there was a mistake again, nothing. Inquiries to the reasons were not responded to immediately. Later we learnt that I was mistakenly linked to a cheating scam that one of the teachers was involved in. I was a pawn in a terrible mistake. A really long and painful story. So, what was the alternative? To resit the exams. I quickly registered as private candidate and pursued High School studies at Forest Hill High School on a tentative basis while resitting so that when I get my results I can proceed on to Form Six. It was such a task, but I succeeded.
Hiki ulichokiweka hakiwezi kufuta mahudhui na maana hasa ya Uzi huu ulioanzishwa na huyu mleta mada, ni hafadhari mngekaa kimya kwani tuna maswali mengi sana ya kumuuliza tofauti na hiki mnachojidanganyia hapa eti sauti ambayo imechakachuliwa, ni vema kwanza tukafahamu
1. Kwa nini aliwaita viongozi wa dini ya Kikiristo na lengo lake hasa lilikuwa nini?
2. Je fedha alizolipia hao wajumbe ikiwemo posho, chakula, usafiri na malazi zimetoka wapi?
kamanda acha kuongea ugoro,nani asiyejua january ni mtoa rushwa,hivi zile simu mlizopewa uvccm mje mpostie ujinga kwenye mitandao ya kijamii hauzikumbuki...what so special kwa january katika vijana wa kitanzania zaidi ya kubebwabebwa the guy ni mdini ndio maana anaattend kwa maaskofu kutafuta huruma.hana strategy za kupata popularity ni just opportunist kama zitto,can you compare him na hata Deo filikunjombe or Mnyika1) Hakuwaita viongozi wa dini bali wao ndio waliomwalika katika sherehe yao ya kila mwaka. Kila Kristmasi viongozi hawa wanakula pamoja, sio mara ya kwanza. Ukisikizia sauti ya hotuba kuna ushahidi tosha kwamba January alialikwa kuhutubia, akaingia akawakuta wameshakaa, akaongea, wakala, wakasali halafu akaondoka akawaacha wakiendelea.
2) Hakuna fedha yoyote iliyotoa. Ni matusi na kashfa kubwa kwa viongozi hawa wa juu kabisa wa dini kudai eti wamepokea rushwa. Ni uwongo wa kutupa. Kama tumefikia hapa kwamba jitihada za kumpaka matope January ni kuwakashifu viongozi hawa wa dini, basi kweli Taifa letu linahitaji uponyaji, uponyaji ambao January ameuzungumzia kwenye hiyo hotuba yake.
mchungaji alichokifanya nikuja kufanya whistle blowing kwenye forum kutuonyesha january anavyotoa rushwaUkisikia unafiki na uzandiki ndio huu,mlikuwa nae muda wooote huo kwanini usimwambie akasikia live??kwanini ulichukua posho yake ya elfu 50??kwanini upande costa na kukubali kulala hoteli ambayo unajua wazi kuwa ametumia milioni 20 kwa jili yenu?? We hufai hata kuongoza au kuwachunga alau kuku 10 maana kama ni mchungaji basi wewe ni mnafiki na hufai ktk dini,km yalikuchukiza ungelisema pale pale mbele yake na sio kumsengenya,eti mtumishi wa mungu,labda mtumishi wa mashetani usie na aibu wewe!!laana ya mwenyezi mungu ikushukie juu yako kwa kukubali kula vya watu kisha kuyasema kwa masengenyo na mipasho.
mchungaji alichokifanya nikuja kufanya whistle blowing kwenye forum kutuonyesha january anavyotoa rushwa
kamanda all in all kizuri chajiuza kibaya chajitembeza kama january aka next month.Sio Mchungaji huyo ni mtunzi wa hekaya anayelipwa kumchafua January Makamba. Watanzania mnapumbazwa kirahisi sana. Lazima atakuwa ni mwandishi wa habari anayelipwa na watu fulani aliyeona ni bora ku pre-empt habari ya tukio lile kwa kuanzisha uzi huu wa kumpaka matope January. Its obvious.
kamanda acha kuongea ugoro,nani asiyejua january ni mtoa rushwa,hivi zile simu mlizopewa uvccm mje mpostie ujinga kwenye mitandao ya kijamii hauzikumbuki...what so special kwa january katika vijana wa kitanzania zaidi ya kubebwabebwa the guy ni mdini ndio maana anaattend kwa maaskofu kutafuta huruma.hana strategy za kupata popularity ni just opportunist kama zitto,can you compare him na hata Deo filikunjombe or Mnyika
Sio Mchungaji huyo ni mtunzi wa hekaya anayelipwa kumchafua January Makamba. Watanzania mnapumbazwa kirahisi sana. Lazima atakuwa ni mwandishi wa habari anayelipwa na watu fulani aliyeona ni bora ku pre-empt habari ya tukio lile kwa kuanzisha uzi huu wa kumpaka matope January. Its obvious.
Chuki tu inakusumbua. Bahati nzuri maelfu ya watu wapo inspired na January kila wakimsikia akizungumza au wanapoona utendaji wake. Haya matusi na kebehi dhidi yake hazina uhalisia wowote, huyeyuka pale watu wengi wanapozidi kung'amua kwamba ni majungu tu. Poleni sana mnaoendekeza majungu na chuki.
Wachungaji wazushi na wanafiki kama huyu ni janga. yani bila aibu nae ana jiita mchungaji/mwinjilisti.
Du January Makamba na wewe umeingia kwenye huu uchafu?
1. Edward Lowassa
2. Bernad Membe
3. January Makamba
4. Asha-Rose Migiro
5. Samwel Sita
6. Fredrick Sumaye
7.
8.
9.
Patachimbika...