Point blank: Rais Magufuli kubali kushindwa uanze upya! umetupoteza!

Jul 3, 2018
76
130
Tukubali au tukatae, hakuna mafanikio ambayo serikali inaweza kujinasibu kuwa yamefikiwa. Mafanikio hayawezi kuwa kujenga barabara tu, barabara hujengwa daima (Since independence barabara zinajengwa) kununua ndege, kujenga barabara ili hali hali za wakulima zinatia simanzi. Masoko ya mazao ya wakulima yamevurugwa, wafanyakazi hawakopesheki kwa kuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo kutokidhi vigezo vya makato, biashara zimevurugwa, kodi inakusanywa kwa vitisho, biashara kama enzi za ukoloni, hakuna uwazi kwenye manunuzi (Ndege zimenunuliwa pasipo kufuata taratibu), kuna double standard kwenye kuwajibisha watumishi (Upendeleo), vyombo vya habari havipo huru tena, wananchi wamenyimwa haki ya mijadala ya wazi, serikali haipo radhi kukosolewa, kila mwenye mamlaka ana kauli ya mwisho (Wakuu wa Wilaya na Mikoa wamekuwa kero), upotoshaji kwenye hali ya uchumi wa nchi ni mkubwa, 1.5 trillion hazina maelezo (Kuna wizi na ufisadi mkubwa kuwahi kutokea), polisi wanafanya kazi za CCM na si kwa maslahi ya wananchi, usalama wa viongozi ni kipaumbele na si usalama wa nchi. Hata kama wapo wanaounga mkono utawala huu, lakini ukweli utabaki pale pale na ni muhimu Mh. Rais atambue kuwa wakati haudanganyi (Every thing is and will be put open soon).

Mh. Rais naiona kesho yako ukiwa pekee yako kwani wanokuzunguka wanachumia matumbo BUT for real umeharibu. Takasa mikono yako kabla hakujacha usipotoshwe na Malaika wa NURU. Ninaamini Mungu anaongea na wewe lakini unapuuza! Yoshua 3:10 " Yoshua akasema, Kwa jambo hili mtajua ya kuwa Mungu aliye hai yu kati yenu, na ya kuwa hatakosa kuwatoa mbele yenu ..........................". Mh. Rais, Mungu wa Watanzania ndiye Mungu wa kweli But Nina shaka na Mungu wako, hasa unayemuomba kutekeleza unayoyafanya!

I stand to be corrected! But that is!
 
Anasahau kuna siku hatakuwa na hao wanaomzunguka na power alizonazo sasa ni kakodishiwa tu kwa muda

Muda huo atakuwa peke yake hata yule mpambe anayesimama nyuma yake hatokuwa na muda naye tena

Wakati huo ukifika ndio ataelewa nini maana ya madaraka na atakaye ingia baada yake atakapo anza kumshushia rungu.

Mwache aendelee na kiburi chake cha uzima muda ukifika hakika atavuna alicho kipanda.

Yeye anajiita kichaa ila anaweza akatokea kichaa zaidi yake akataka viongozi wote wastaafu (Marais) waburuzwe mahakamani hata kama katiba inawalinda naye atatumia ukichaa huo huo kukiuka katiba na kuwatia ndani na kuwafilisi.
 
ila jama angekuwa na uwezo kama zzk kichwani tungemkoma, maana ivi ivi kwenye kasoro kibao anajikuta sana sijui angekuwa vyema ingekuwaje.

ukweli mambo si mambo, mazao bei imedororaaa (mahindi debe 4000-5000_ mpunga kilo 90 tsh. 54,000)
ukisema unaambiwa umebanwa ulikuwa fisadi weww.
 
Noted!!!!
He the President is doomed to fail if and only if ignored the voice of the majority....
Sometimes I wonder if one cannot see can he or she smell....
Mpango Jana alipatana Na maswali magumu kweli ya kujibu...
Ila mengi ya maswali hayo ni kweli...
 
Noted!!!!
He the President is doomed to fail if and only if ignored the voice of the majority....
Sometimes I wonder if one cannot see can he or she smell....
Mpango Jana alipatana Na maswali magumu kweli ya kujibu...
Ila mengi ya maswali hayo ni kweli...
obvious
 
ila jama angekuwa na uwezo kama zzk kichwani tungemkoma, maana ivi ivi kwenye kasoro kibao anajikuta sana sijui angekuwa vyema ingekuwaje.

ukweli mambo si mambo, mazao bei imedororaaa (mahindi debe 4000-5000_ mpunga kilo 90 tsh. 54,000)
ukisema unaambiwa umebanwa ulikuwa fisadi weww.
Aiseee !!
 
ushauri murua kabisa
tatizo ni hapo ulipoweka andiko liliobuniwa na binadamu na kutaka kumtishia jiwe
mimi namwambia jiwe,fuatisha yote aliyokushauri lakini hapo kwenye mstari wa biblia katupe chooni
 
Tukubali au tukatae, hakuna mafanikio ambayo serikali inaweza kujinasibu kuwa yamefikiwa. Mafanikio hayawezi kuwa kujenga barabara tu, barabara hujengwa daima (Since independence barabara zinajengwa) kununua ndege, kujenga barabara ili hali hali za wakulima zinatia simanzi. Masoko ya mazao ya wakulima yamevurugwa, wafanyakazi hawakopesheki kwa kuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo kutokidhi vigezo vya makato, biashara zimevurugwa, kodi inakusanywa kwa vitisho, biashara kama enzi za ukoloni, hakuna uwazi kwenye manunuzi (Ndege zimenunuliwa pasipo kufuata taratibu), kuna double standard kwenye kuwajibisha watumishi (Upendeleo), vyombo vya habari havipo huru tena, wananchi wamenyimwa haki ya mijadala ya wazi, serikali haipo radhi kukosolewa, kila mwenye mamlaka ana kauli ya mwisho (Wakuu wa Wilaya na Mikoa wamekuwa kero), upotoshaji kwenye hali ya uchumi wa nchi ni mkubwa, 1.5 trillion hazina maelezo (Kuna wizi na ufisadi mkubwa kuwahi kutokea), polisi wanafanya kazi za CCM na si kwa maslahi ya wananchi, usalama wa viongozi ni kipaumbele na si usalama wa nchi. Hata kama wapo wanaounga mkono utawala huu, lakini ukweli utabaki pale pale na ni muhimu Mh. Rais atambue kuwa wakati haudanganyi (Every thing is and will be put open soon).

Mh. Rais naiona kesho yako ukiwa pekee yako kwani wanokuzunguka wanachumia matumbo BUT for real umeharibu. Takasa mikono yako kabla hakujacha usipotoshwe na Malaika wa NURU. Ninaamini Mungu anaongea na wewe lakini unapuuza! Yoshua 3:10 " Yoshua akasema, Kwa jambo hili mtajua ya kuwa Mungu aliye hai yu kati yenu, na ya kuwa hatakosa kuwatoa mbele yenu ..........................". Mh. Rais, Mungu wa Watanzania ndiye Mungu wa kweli But Nina shaka na Mungu wako, hasa unayemuomba kutekeleza unayoyafanya!

I stand to be corrected! But that is!
Huu utawal ni wa hovyo sana, unataka tuamini kuwa fly over mbili t ndio mafanikio ya nchi nzima kwa miaka mitatu. This is insanity.
 
Tukubali au tukatae, hakuna mafanikio ambayo serikali inaweza kujinasibu kuwa yamefikiwa. Mafanikio hayawezi kuwa kujenga barabara tu, barabara hujengwa daima (Since independence barabara zinajengwa) kununua ndege, kujenga barabara ili hali hali za wakulima zinatia simanzi. Masoko ya mazao ya wakulima yamevurugwa, wafanyakazi hawakopesheki kwa kuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo kutokidhi vigezo vya makato, biashara zimevurugwa, kodi inakusanywa kwa vitisho, biashara kama enzi za ukoloni, hakuna uwazi kwenye manunuzi (Ndege zimenunuliwa pasipo kufuata taratibu), kuna double standard kwenye kuwajibisha watumishi (Upendeleo), vyombo vya habari havipo huru tena, wananchi wamenyimwa haki ya mijadala ya wazi, serikali haipo radhi kukosolewa, kila mwenye mamlaka ana kauli ya mwisho (Wakuu wa Wilaya na Mikoa wamekuwa kero), upotoshaji kwenye hali ya uchumi wa nchi ni mkubwa, 1.5 trillion hazina maelezo (Kuna wizi na ufisadi mkubwa kuwahi kutokea), polisi wanafanya kazi za CCM na si kwa maslahi ya wananchi, usalama wa viongozi ni kipaumbele na si usalama wa nchi. Hata kama wapo wanaounga mkono utawala huu, lakini ukweli utabaki pale pale na ni muhimu Mh. Rais atambue kuwa wakati haudanganyi (Every thing is and will be put open soon).

Mh. Rais naiona kesho yako ukiwa pekee yako kwani wanokuzunguka wanachumia matumbo BUT for real umeharibu. Takasa mikono yako kabla hakujacha usipotoshwe na Malaika wa NURU. Ninaamini Mungu anaongea na wewe lakini unapuuza! Yoshua 3:10 " Yoshua akasema, Kwa jambo hili mtajua ya kuwa Mungu aliye hai yu kati yenu, na ya kuwa hatakosa kuwatoa mbele yenu ..........................". Mh. Rais, Mungu wa Watanzania ndiye Mungu wa kweli But Nina shaka na Mungu wako, hasa unayemuomba kutekeleza unayoyafanya!

I stand to be corrected! But that is!
Hongera mkuu kwa mtizamo wa kina na fikirishi
 
Kujenga miundombinu ni kazi ya serikali yeyote duniani,hata wangeshinda PPT Maendeleo,cdm,cuf,act wangejenga miundombinu,Nyerere alijenga,Mwinyi alijenga,Mkapa alijenga,Kikwete alijenga na yeye sasa anajenga.kitu pekee anachoweza kusifiwa Rais yeyote ni kuwaunganisha wananchi na kuifanya nchi kuwa salama kwa kuishi,kuinua uchumi wa nchi na wa watu na amani mioyoni mwa watu.mpaka hapo ameshindwa vibaya sana
 
Tukubali au tukatae, hakuna mafanikio ambayo serikali inaweza kujinasibu kuwa yamefikiwa. Mafanikio hayawezi kuwa kujenga barabara tu, barabara hujengwa daima (Since independence barabara zinajengwa) kununua ndege, kujenga barabara ili hali hali za wakulima zinatia simanzi. Masoko ya mazao ya wakulima yamevurugwa, wafanyakazi hawakopesheki kwa kuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo kutokidhi vigezo vya makato, biashara zimevurugwa, kodi inakusanywa kwa vitisho, biashara kama enzi za ukoloni, hakuna uwazi kwenye manunuzi (Ndege zimenunuliwa pasipo kufuata taratibu), kuna double standard kwenye kuwajibisha watumishi (Upendeleo), vyombo vya habari havipo huru tena, wananchi wamenyimwa haki ya mijadala ya wazi, serikali haipo radhi kukosolewa, kila mwenye mamlaka ana kauli ya mwisho (Wakuu wa Wilaya na Mikoa wamekuwa kero), upotoshaji kwenye hali ya uchumi wa nchi ni mkubwa, 1.5 trillion hazina maelezo (Kuna wizi na ufisadi mkubwa kuwahi kutokea), polisi wanafanya kazi za CCM na si kwa maslahi ya wananchi, usalama wa viongozi ni kipaumbele na si usalama wa nchi. Hata kama wapo wanaounga mkono utawala huu, lakini ukweli utabaki pale pale na ni muhimu Mh. Rais atambue kuwa wakati haudanganyi (Every thing is and will be put open soon).

Mh. Rais naiona kesho yako ukiwa pekee yako kwani wanokuzunguka wanachumia matumbo BUT for real umeharibu. Takasa mikono yako kabla hakujacha usipotoshwe na Malaika wa NURU. Ninaamini Mungu anaongea na wewe lakini unapuuza! Yoshua 3:10 " Yoshua akasema, Kwa jambo hili mtajua ya kuwa Mungu aliye hai yu kati yenu, na ya kuwa hatakosa kuwatoa mbele yenu ..........................". Mh. Rais, Mungu wa Watanzania ndiye Mungu wa kweli But Nina shaka na Mungu wako, hasa unayemuomba kutekeleza unayoyafanya!

I stand to be corrected! But that is!

mkuu, nilikuwa nazihesabu tu pointi zako, sasa nikajikuta kumbe nazi-post tena.
basi acha zikae kwenye post hii kwa ajili ya msisitizo.

1. hali za wakulima zinatia simanzi. Masoko ya mazao ya wakulima yamevurugwa

2. wafanyakazi hawakopesheki kwa kuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo kutokidhi vigezo vya makato

3. biashara zimevurugwa

4. kodi inakusanywa kwa vitisho

5. biashara kama enzi za ukoloni

6. hakuna uwazi kwenye manunuzi (Ndege zimenunuliwa pasipo kufuata taratibu)

7. kuna double standard kwenye kuwajibisha watumishi (Upendeleo)

8. vyombo vya habari havipo huru tena

9. wananchi wamenyimwa haki ya mijadala ya wazi

10. serikali haipo radhi kukosolewa

11. kila mwenye mamlaka ana kauli ya mwisho (Wakuu wa Wilaya na Mikoa wamekuwa kero)

12. upotoshaji kwenye hali ya uchumi wa nchi ni mkubwa

13. 1.5 trillion hazina maelezo (Kuna wizi na ufisadi mkubwa kuwahi kutokea)

14. polisi wanafanya kazi za CCM na si kwa maslahi ya wananchi

15. usalama wa viongozi ni kipaumbele na si usalama wa nchi
 
Back
Top Bottom