Pochi ya bastola kwa bei rahisi.

Natafuta pochi ya bastola kwa bei rahisi kwa anayejua ninapoweza kupata.
Hizo mkuu wala sio za kuhangaika mbona mafund hasa wale wanao tengeneza viatu na kushona mikoba ile yakina mama na wallet huwa wanaishona tena inakuwa imara kuliko hata ya dukani maana wanatumia ngozi pure kabisa

mimi nilishona kwa hao jamaa nilielekezwa na mh. Fulan( ) nikaenda nayo nika muelekeza ninavyo taka akaipima akanishonea mkoba murua kabisa na walio wengi wamesha fanya hivyo baada ya kuuona wakwangu.

La msing sana hakikisha unamiliki silaha kihalali na silaha yako haihusiki kuvunja sheria kama yule mpuuzi wa kwenye tukio la Nape.

NB: sio kwa mafundi viatu hawa wanao repair hapana bali ni wale wanao tengeneza viatu/kuunda kabisa na wana mashine pale kwa kazi hiyo
 
Hizo mkuu wala sio za kuhangaika mbona mafund hasa wale wanao tengeneza viatu na kushona mikoba ile yakina mama na wallet huwa wanaishona tena inakuwa imara kuliko hata ya dukani maana wanatumia ngozi pure kabisa mimi nilishona kwa hao jamaa nilielekezwa na mh. Fulan( ) nikaenda nayo nika muelekeza ninavyo taka akaipima akanishonea mkoba murua kabisa na walio wengi wamesha fanya hivyo baada ya kuuona wakwangu.
NB: sio kwa mafundi viatu hawa wanao repair hapana bali ni wale wanao tengeneza viatu/kuunda kabisa na wana mashine pale kwa kazi hiyo
Asante mkuu
 
Hizo mkuu wala sio za kuhangaika mbona mafund hasa wale wanao tengeneza viatu na kushona mikoba ile yakina mama na wallet huwa wanaishona tena inakuwa imara kuliko hata ya dukani maana wanatumia ngozi pure kabisa

mimi nilishona kwa hao jamaa nilielekezwa na mh. Fulan( ) nikaenda nayo nika muelekeza ninavyo taka akaipima akanishonea mkoba murua kabisa na walio wengi wamesha fanya hivyo baada ya kuuona wakwangu.

La msing sana hakikisha unamiliki silaha kihalali na silaha yako haihusiki kuvunja sheria kama yule mpuuzi wa kwenye tukio la Nape.

NB: sio kwa mafundi viatu hawa wanao repair hapana bali ni wale wanao tengeneza viatu/kuunda kabisa na wana mashine pale kwa kazi hiyo
Wanatengeneza na za SMG?.. nataka moja ya AK 47.
 
Nenda tanganyika arms wana holser nzuri sana haswa zile za begani na mgongoni. Za spesho caterpillar. Ila hizi za kiunoni tengeneza za ngozi km ulivyoelekezwa na mdau hapo juu kwa mafundi.

Pia nilishaziona katika banda la magereza kwenye maonesho ya 8/8
 
Natafuta pochi ya bastola kwa bei rahisi kwa anayejua ninapoweza kupata.

Mkuu nauza hii itakufaa
ImageUploadedByJamiiForums1491844185.449269.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom