Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 208
- 462
Msichana mmoja huko Cuxhaven, pwani ya Bahari ya Kaskazini nchini Ujerumani amerudisha pochi iliyokuwa na yuro 7,371.04 ambayo ni sawa na shilingi milioni 19,164 za Tanzania. Msichana huyo alimrudishia mmiliki wa pochi hiyo bila ya kuchukua fedha hizo.
Polisi wa eneo hilo wamesema kwamba msichana huyo mwaminifu alipiga simu Jumamosi jioni na kusema ameokota pochi hiyo ilijaa kitita hicho cha fedha karibu na eneo la ujenzi kwenye wilaya ya Lüdingworth na kuikabidhi kwa Mwenye fedha
Polisi wa eneo hilo wamesema kwamba msichana huyo mwaminifu alipiga simu Jumamosi jioni na kusema ameokota pochi hiyo ilijaa kitita hicho cha fedha karibu na eneo la ujenzi kwenye wilaya ya Lüdingworth na kuikabidhi kwa Mwenye fedha