POAC Report iliyosomwa Bungeni leo

Naomba nieleze jambo moja. Hii ni taarifa ya Mwaka ya Kamati ya POAC. Ukiona hapo utaona ni mwaka wa fedha unaoishia June 30,2009! Taarifa ya CAG inayoishia june 2010 inawasilishwa Bungeni siku ya jumanne na baada ya hapo ndio Kamati zitapewa na Spika ili kushughulikia.

Kwa hiyo katika Taarifa hii hutakuta taarifa ya CAG maana imeshatoka na unaweza kuipata katika tovuti ya national audit office. POAC inatoa taarifa ya kazi kufuatia taarifa ya mwaka 2009.

Kazi ya kamati ni kuhoji na kutoa maelekezo, maagizo na mapendekezo kufuatia taarifa ya CAG. Kwa wale wanaotaka CAG report inayoendana na taarifa ya POAC waende kwenye tovuti ya CAG.

Kila la kheri

Ahsante Mzee

Ila naomba kama una muda unijibu swali hapo juu, kuwa 'kwa kukagua mashirika kwa kutegemea ripoti ya 2009, haimaanishi kuwa taarifa yenu inakuwa too outdated?
 
TANESCO inahitaji mtaji wa Milioni 2,877,586.82

Hapo ni sawa au kuna typing/mathematical error?
 
Ahsante Mzee

Ila naomba kama una muda unijibu swali hapo juu, kuwa 'kwa kukagua mashirika kwa kutegemea ripoti ya 2009, haimaanishi kuwa taarifa yenu inakuwa too outdated?
Kuwa outdated yaweza kuwa sahihi. Lakini ndio mzunguko wa uwajibikaji. Shirika linafunga hesabu, CAG anakagua na kutoa ripoti yake mwezi April.

Kamati zinafanya kazi mwaka mzima April mpaka April kuwahoji Watendaji Wakuu. Kamati zatoa taarifa na kupokea ripoti mpya. Ni mzunguko unaitwa Accountability loop. Shirika lafunga Hesabu September na kumpa mkaguzi wa nje (kwa hesabu zinazoishia June).

Mkaguzi anatoa ripoti March of the coming year na ndipo kamati zinaanza kuhoji!
 
Mh Zitto nashindwa kukubaliana na mapendekezo yenu ya kutaka kufufuliwa kwa ATCL. Ni kweli kwamba uhai wa ATCL ni muhimu, lakini kusema kuwa serikali iifufue yenyewe, practically ni impossible.

Mtaji wa $bil 31 (zaidi ya Tsh Trillion 45), ni ndoto kwa Tanzania. Alafu hata zingekuwepo, ni kwa vipi tutakuwa guaranteed kuwa shirika halitakufa tena? Ni sababu zipi zilizolifanya likafa mwanzoni na zitaepukwaje kwa sasa?
 
Kuwa outdated yaweza kuwa sahihi. Lakini ndio mzunguko wa uwajibikaji. Shirika linafunga hesabu, CAG anakagua na kutoa ripoti yake mwezi April.

Kamati zinafanya kazi mwaka mzima April mpaka April kuwahoji Watendaji Wakuu. Kamati zatoa taarifa na kupokea ripoti mpya. Ni mzunguko unaitwa Accountability loop. Shirika lafunga Hesabu September na kumpa mkaguzi wa nje (kwa hesabu zinazoishia June).

Mkaguzi anatoa ripoti March of the coming year na ndipo kamati zinaanza kuhoji!

Ok, nimekuelewa...
 
Report hii kuzungumzia kiwanda cha General Tyre tayari imezima hoja binafsi ya Mh. Lema ya kutaka iundwe kamati ya Bunge kufuatilia kiwanda hiki. Nadhani report ya Kama Teule ingekuwa na uzito zaidi kuliko hii ya Kamati ndogo ya POAC kwani taarifa ya kamati ndogo itaishia POAC wakati kamati teule ya Bunge taarifa ingesomwa kwa Wabunge wote
 
Mh Zitto ukipata muda naomba unifafanulie tena umuhimu wa shirika la tija kwa taifa kuendelea kuwepo, na ukiweza kutoa mifano kadhaa itasaidia sana...
 
Mh Zitto nashindwa kukubaliana na mapendekezo yenu ya kutaka kufufuliwa kwa ATCL. Ni kweli kwamba uhai wa ATCL ni muhimu, lakini kusema kuwa serikali iifufue yenyewe, practically ni impossible. Mtaji wa $bil 31 (zaidi ya Tsh Trillion 45), ni ndoto kwa Tanzania. Alafu hata zingekuwepo, ni kwa vipi tutakuwa guaranteed kuwa shirika halitakufa tena? Ni sababu zipi zilizolifanya likafa mwanzoni na zitaepukwaje kwa sasa?

You are right , lakini inategemea zaidi na ni mfumo gani wa siasa tunautaka?? kuna nchi ni za kibepari lakini baadhi ya mashirika kama ya ndege ni ya serikali tena ni monopoly , canada ni mfano.

Kwa mtazamo wako bora nadhani mkapa alikuwa sahihi kabisa, tutawekeza na kesho litakufa tena. acha lijipotelee huko kabisa after all tuna wawekezaji kibao kwa sasa.


Report hii kuzungumzia kiwanda cha General Tyre tayari imezima hoja binafsi ya Mh. Lema ya kutaka iundwe kamati ya Bunge kufuatilia kiwanda hiki. Nadhani report ya Kama Teule ingekuwa na uzito zaidi kuliko hii ya Kamati ndogo ya POAC kwani taarifa ya kamati ndogo itaishia POAC wakati kamati teule ya Bunge taarifa ingesomwa kwa Wabunge wote


kipengele gani bungeni kinasema hivyo? kuwa kama POAC wakileta report at the same time kuna mtu ana hoja binafsi ya swala hilohilo then hataweza kutoa hoja zake!
 
Report hii kuzungumzia kiwanda cha General Tyre tayari imezima hoja binafsi ya Mh. Lema ya kutaka iundwe kamati ya Bunge kufuatilia kiwanda hiki. Nadhani report ya Kama Teule ingekuwa na uzito zaidi kuliko hii ya Kamati ndogo ya POAC kwani taarifa ya kamati ndogo itaishia POAC wakati kamati teule ya Bunge taarifa ingesomwa kwa Wabunge wote

Ni kweli but hata kamati ndogo ya POAC itawezesha kupatikana taarifa fulani muhimu zitakazoipa hoja binafsi ya Lemma nguvu hapo baadae, kama POAC haitaridhika. So, kwangu mimi nadhani tuache kwanza POAC imalize kazi yake.

Swali; Mh Lemma ni mjumbe wa POAC? Kama sio naiomba kamati ndogo ya POAC itafute namna ya kumshirikisha katika uchunguzi wao..
 
Nami nimeisoma na inanipa tumaini kwamba huenda watatii maagizo ya kamati.
Nasema huenda kutokana na taarifa zilizopo kwamba PPF wakikataa hata mwongozo wa mhasibu wao.

Swali kwa mh. Zitto ni hatima ya maelezo yaliyotolewa chini ya PPF kipengele cha 9 uk. 26 - 27. Kamati inaonekan hapa ime-downtone hatua kuliko ulivyotueleza ktk ile ttrd nyingine;

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/122928-kamati-ya-zitto-yaishukia-ppf-juu-ya-malipo-ya-mamilioni-%3B-yaagiza-kusitishwa-malipo-mapya.html

Hapo ulitoa msg moja iliyoelekeza zichukuliwe hatua. Nanukuu;
"Double payment hairuhusiwi. CAG ameagizwa kukagua malipo ya nyuma ya PPF na kama yalikwenda kinyume na sheria waliolipwa lazima warejeshe".
Mimi niliona ni perfect na hasa hili la kurejesha pesa walizochukuwa. Mbona sasa silioni ktk ripoti yako au ni hukumu iliyo nje ya kamati yako?
 
Kwa mtazamo wako bora nadhani mkapa alikuwa sahihi kabisa, tutawekeza na kesho litakufa tena. acha lijipotelee huko kabisa after all tuna wawekezaji kibao kwa sasa.

Ni kweli kuwa pamoja na ubepari tunaweza kuwa na sekta fulani ambazo serikali inamonopolize... Ndiyo maana mtazamo wangu ni kuwa tusiache lijifilie huko, but ikiwezekana tutafute wakezaji, tuingie nao ubia kwa mkataba wa muda maalum, there after tutakuwa tumejifunza jinsi ya kuliendesha wenyewe. Actually, sio shirika la ndge tu ambalo nadhani linaweza kuwa monopolized na serikali baadae, bali hata usafiri wa barabarani (kusafirisha watu), n.k
 
Nami nimeisoma na inanipa tumaini kwamba huenda watatii maagizo ya kamati.
Nasema huenda kutokana na taarifa zilizopo kwamba PPF wakikataa hata mwongozo wa mhasibu wao.

Swali kwa mh. Zitto ni hatima ya maelezo yaliyotolewa chini ya PPF kipengele cha 9 uk. 26 - 27. Kamati inaonekan hapa ime-downtone hatua kuliko ulivyotueleza ktk ile ttrd nyingine;

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/122928-kamati-ya-zitto-yaishukia-ppf-juu-ya-malipo-ya-mamilioni-%3B-yaagiza-kusitishwa-malipo-mapya.html

Hapo ulitoa msg moja iliyoelekeza zichukuliwe hatua. Nanukuu;
"Double payment hairuhusiwi. CAG ameagizwa kukagua malipo ya nyuma ya PPF na kama yalikwenda kinyume na sheria waliolipwa lazima warejeshe".
Mimi niliona ni perfect na hasa hili la kurejesha pesa walizochukuwa. Mbona sasa silioni ktk ripoti yako au ni hukumu iliyo nje ya kamati yako?

Ahsante (kitufe cha thanks sikioni kwenye screen yangu)
 
Mkuu nadhani ripoti inayoishia juni 2009 ya CAG ndio latest had sasa. CAG alishatoa hiyo ya kuishia juni 2010 ndipo kamati inaweza kuifanyia kazi
 
Mheshimiwa Zitto naomba unisaidie hapa.....nini nguvu ya kamati yako ya POAC katika kushughulikia Ufisadi katika mashirika mbali mbali ya Umma ambayo mengine yamejifia kabisa au Mengine yanachungulia shimo mfano shirika letu la Ndege(ATCL) pamoja na mashirika yetu ya Reli TRL na TAZARA hivi nyie hamuwezi kulipatia Bunge na Wananchi taarifa sahii ya Nini kimetokea katika mashirika haya mpaka kufikia Hali hii ya sasa ya kusua sua na kutaka wahusika wote kwa majina wakiosababisha kwa njia moja au nyingine na Kupendekeza sheria kuchukua mkondo wake.....kinyume cha hapo naona kama mnatufanyia viini Macho watu wanafanya mashirika ya umma Kama Mali zao Binafsi......Plz Kama unaweza kulifanyia kazi hili utakuwa umeusaidia umma wa Watanzania na Mali zao!!
 
Naomba nieleze jambo moja. Hii ni taarifa ya Mwaka ya Kamati ya POAC. Ukiona hapo utaona ni mwaka wa fedha unaoishia June 30,2009! Taarifa ya CAG inayoishia june 2010 inawasilishwa Bungeni siku ya jumanne na baada ya hapo ndio Kamati zitapewa na Spika ili kushughulikia.

Kwa hiyo katika Taarifa hii hutakuta taarifa ya CAG maana imeshatoka na unaweza kuipata katika tovuti ya national audit office. POAC inatoa taarifa ya kazi kufuatia taarifa ya mwaka 2009.
Nimependa hii wakuu!!!!!!!!!!!!!!!!! Zito mwaga hazarani maaana hawa jamaa wa thithiem hawaelewi kabisa
5. Pendekezo la Wabunge kutokuwa Wajumbe wa Bodi za Mashirika ya umma bado halijatekelezwa na Mawaziri bado wanateua Wabunge kuwa Wajumbe wa Bodi za Mashirika ya Umma. Pendekezo hili limetolewa na Kamati kwa miaka mitatu mfululizo na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ameendelea kulitolea mapendekezo. Kamati itaandaa orodha ya Wabunge wote walio kwenye Bodi za Mashirika ya Umma na inashauri waondolewe ili wabunge wabaki na Kazi ya Kuisimamia Serikali (oversight role). Kitendo cha Mawaziri kuendelea kuteua Wabunge kwenye Bodi za Mashirika ya Umma ni dharau kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Bunge lako Tukufu

Kazi ya kamati ni kuhoji na kutoa maelekezo, maagizo na mapendekezo kufuatia taarifa ya CAG. Kwa wale wanaotaka CAG report inayoendana na taarifa ya POAC waende kwenye tovuti ya CAG.
 
Naomba nieleze jambo moja. Hii ni taarifa ya Mwaka ya Kamati ya POAC. Ukiona hapo utaona ni mwaka wa fedha unaoishia June 30,2009! Taarifa ya CAG inayoishia june 2010 inawasilishwa Bungeni siku ya jumanne na baada ya hapo ndio Kamati zitapewa na Spika ili kushughulikia.

Kwa hiyo katika Taarifa hii hutakuta taarifa ya CAG maana imeshatoka na unaweza kuipata katika tovuti ya national audit office. POAC inatoa taarifa ya kazi kufuatia taarifa ya mwaka 2009.
Nimependa hii wakuu!!!!!!!!!!!!!!!!! Zito mwaga hazarani maaana hawa jamaa wa thithiem hawaelewi kabisa
5. Pendekezo la Wabunge kutokuwa Wajumbe wa Bodi za Mashirika ya umma bado halijatekelezwa na Mawaziri bado wanateua Wabunge kuwa Wajumbe wa Bodi za Mashirika ya Umma. Pendekezo hili limetolewa na Kamati kwa miaka mitatu mfululizo na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ameendelea kulitolea mapendekezo. Kamati itaandaa orodha ya Wabunge wote walio kwenye Bodi za Mashirika ya Umma na inashauri waondolewe ili wabunge wabaki na Kazi ya Kuisimamia Serikali (oversight role). Kitendo cha Mawaziri kuendelea kuteua Wabunge kwenye Bodi za Mashirika ya Umma ni dharau kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Bunge lako Tukufu

Kazi ya kamati ni kuhoji na kutoa maelekezo, maagizo na mapendekezo kufuatia taarifa ya CAG. Kwa wale wanaotaka CAG report inayoendana na taarifa ya POAC waende kwenye tovuti ya CAG.










Nimependa hii wakuu!!!!!!!!!!!!!!!!! Zito mwaga hazarani maaana hawa jamaa wa thithiem hawaelewi kabisa
5. Pendekezo la Wabunge kutokuwa Wajumbe wa Bodi za Mashirika ya umma bado halijatekelezwa na Mawaziri bado wanateua Wabunge kuwa Wajumbe wa Bodi za Mashirika ya Umma. Pendekezo hili limetolewa na Kamati kwa miaka mitatu mfululizo na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ameendelea kulitolea mapendekezo. Kamati itaandaa orodha ya Wabunge wote walio kwenye Bodi za Mashirika ya Umma na inashauri waondolewe ili wabunge wabaki na Kazi ya Kuisimamia Serikali (oversight role). Kitendo cha Mawaziri kuendelea kuteua Wabunge kwenye Bodi za Mashirika ya Umma ni dharau kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Bunge lako Tukufu
 
Kuwa outdated yaweza kuwa sahihi. Lakini ndio mzunguko wa uwajibikaji. Shirika linafunga hesabu, CAG anakagua na kutoa ripoti yake mwezi April.

Kamati zinafanya kazi mwaka mzima April mpaka April kuwahoji Watendaji Wakuu. Kamati zatoa taarifa na kupokea ripoti mpya. Ni mzunguko unaitwa Accountability loop. Shirika lafunga Hesabu September na kumpa mkaguzi wa nje (kwa hesabu zinazoishia June).

Mkaguzi anatoa ripoti March of the coming year na ndipo kamati zinaanza kuhoji!

mimi ninachotaka ni kile ambacho CAG alimpa Rais last week

sasa unasema twende kwenye website ya CAG tyumeenda lakini kuna yafuatayo:

National Audit Office of United Republic of Tanzania

1. Ripoti zilizopo ni za 2009

2. Hazifunguki

3. Kuna dalili za sisi walipa kodi kukosa access ya hizi ripoti na matokeo yake zinaonekana zitakuwa just for privedged few kama nyinyi wabunge mnaotutawala

4. Most imporatntly ninachokitaka mimi ni Same report ambayo CAG alimkabidhi Rais last week

whats so difficult about that?

what and why are you guys trying to hide?
 
mi swali langu dogo tu....kwanini wananchi wa hali ya chini/maskini most of the time wanachukua reference pale Tandale na isiwe mabibo au kigogo??, na wale wale wasio maskini reference yao ni masaki???na isiwe tabata au mbezi??
 
Back
Top Bottom