POAC Report iliyosomwa Bungeni leo

mimi ninachotaka ni kile ambacho CAG alimpa Rais last week

sasa unasema twende kwenye website ya CAG tyumeenda lakini kuna yafuatayo:

National Audit Office of United Republic of Tanzania

1. Ripoti zilizopo ni za 2009

2. Hazifunguki

3. Kuna dalili za sisi walipa kodi kukosa access ya hizi ripoti na matokeo yake zinaonekana zitakuwa just for privedged few kama nyinyi wabunge mnaotutawala

4. Most imporatntly ninachokitaka mimi ni Same report ambayo CAG alimkabidhi Rais last week

whats so difficult about that?

what and why are you guys trying to hide?

Kaka report ya CAG ya 2010 bado ni siri,for ur information ts secret until the report is tabled at the parliament,I think from tuesday next week u will be able to access the report even NAO website!
 
You are right , lakini inategemea zaidi na ni mfumo gani wa siasa tunautaka?? kuna nchi ni za kibepari lakini baadhi ya mashirika kama ya ndege ni ya serikali tena ni monopoly , canada ni mfano.

Kwa mtazamo wako bora nadhani mkapa alikuwa sahihi kabisa, tutawekeza na kesho litakufa tena. acha lijipotelee huko kabisa after all tuna wawekezaji kibao kwa sasa.

kipengele gani bungeni kinasema hivyo? kuwa kama POAC wakileta report at the same time kuna mtu ana hoja binafsi ya swala hilohilo then hataweza kutoa hoja zake!

Kwa mtazamo wangu jibu la Mh. Makinda litakuwa ni kwamba POAC tayari wameunda kamati ndogo kufuatilia kiwanda cha General Tyre hivyo Mh. Lema asubiri matokeo ya kamati ndogo ya POAC
 
Back
Top Bottom