kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kushangilia Twiga Stars ili ishinde mabao mengi na kujiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele dhidi ya DR Congo....
"... Baada ya mechi ya leo, mchezo wa marudiano utafanyika baada ya siku 10 nchini DR Congo."
#Habari zaidi soma kiambatanisho,
Mwananchi
"... Baada ya mechi ya leo, mchezo wa marudiano utafanyika baada ya siku 10 nchini DR Congo."
#Habari zaidi soma kiambatanisho,
Mwananchi