Pamoja na maneno makali ya MPs, lkn Hakuna jipya kwa tz ya Leo, Pinda ni kati ya Wanasiasa wanaoweza kuzima hoja ngumu na nzito Kama hizi zilizoko bungeni muda huu...jikumbushe juu ya mahakama ya kadhi, mgomo wa madaktari, suala la jairo na posho..wait and see conclusions za kikao cha bunge hili Kama kuna lolote litatokea