statement yako iko too general! Lowasa alikuwa hatetereki kwenye maamuzi yake na sio kigeugeu kama mizengo pinda! Tatizo la pinda ni kutokuwa na ujasiri! Kiongozi mwingine ambaye alikuwa hatetereki na maamuzi yake ni nyerere! Wakati wa vita na idi amini dada kamuzu banda aliivamia tanzania kwa kuleta manowari na ndege za kijeshi na kudai kuwa sehemu yote ya kyela mpaka milima ya livingstone ni sehemu ya malawi! Lakini manowari zile na ndege zilitunguliwa na jwtz! Hakumwonea mtu aibu, alianzisha uhusiano mzuri sana na zambia, zimbabwe na msumbiji kiasi kwamba malawi ilijikuta isolated!