PM Kutangaza bungeni kuwa angechukua fomu halafu leo kaogopa: Hivi Majaliwa alikuwa hajui au alikuwa anatikisa kiberiti?

PM Kutangaza bungeni kuwa angechukua fomu halafu leo kaogopa: Hivi Majaliwa alikuwa hajui au alikuwa anatikisa kiberiti?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
12,151
Reaction score
44,071
Hatimaye kila kitendawili cha hatma ya kisiasa ya Majaliwa katika nafasi ya waziri mkuu kimehitimishwa rasmi leo baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa 'masikitiko' makubwa kutangaza rasmi kuwa hatachukua tena fomu za kugombea ubunge wa jimbo la Ruangwa, na hivyo kufuta ndoto zote za kuendelea kuwa waziri mkuu au hata kuwa sehemu ya serikali ijayo ya CCM.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo huku akionekana usoni kama mtu aliyekosa furaha fulani. Binafsi ninadhani masikitiko hayo hayajatokana na kuachia kiti hicho cha ubunge bali fedheha aliyoipata au atakayoipa kwa huo uamuzi wake sasa kwa kuwa wiki moja iliyopita tu, akiwa bungeni akitoa hotuba yake ya mwisho bungeni kwa furaha, kujiamini, bashasha na shangwe kuu alitangaza rasmi kuwa angechukua tena fomu za CCM ili kugombea ubunge wa Ruangwa kwa kipindi kingine.

Wadadisi wengi wanajua na kusema, kwa kipindi kirefu mnoo tangu kuingia kwa Rais Samia, Mheshimiwa Majaliwa alikuwa kwenye shinikizwa kubwa la kutakiwa kuachia kiti cha uwaziri mkuu, lakini kimtindo akakaza, na maafikiano yakawa ni kutua taratibu kwa kuhitimisha safari yake mwisho wa awamu hii na baada hapo apumzike kisiasa.

Soma Pia: Waziri Mkuu, Majaliwa atangaza kugombea tena Ubunge wa Ruangwa akiaga Bunge


Sasa hili tukio la wiki iliyopita la Mheshimiwa Majaliwa kutangaza kugombea tena Ubunge (ikiwa na maana anautaka tena uwaziri Mkuu) lilitushtua wengine, lakini hili tukio la leo la kutangaziwa tena kuwa hata gombea limetushtua zaidi wengi.

Swali kuu:
Je, Mheshimiwa waziri mkuu Kassim Majaliwa hakujua kuwa hatakiwi tena kugombea au alikuwa anatikisa kiberiti kuona kama kimejaa?
 
Hatimaye kila kitendawili cha hatma ya kisiasa ya Majaliwa katika nafasi ya waziri mkuu kimehitimishwa rasmi leo baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa 'masikitiko' makubwa kutangaza rasmi kuwa hatachukua tena fomu za kugombea ubunge wa jimbo la Ruangwa, na hivyo kufuta ndoto zote za kuendelea kuwa waziri mkuu au hata kuwa sehemu ya serikali ijayo ya CCM.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo huku akionekana usoni kama mtu aliyekosa furaha fulani. Binafsi ninadhani masikitiko hayo hayajatokana na kuachia kiti hicho cha ubunge bali fedheha aliyoipata au atakayoipa kwa huo uamuzi wake sasa kwa kuwa wiki moja iliyopita tu, akiwa bungeni akitoa hotuba yake ya mwisho bungeni kwa furaha, kujiamini, bashasha na shangwe kuu alitangaza rasmi kuwa angechukua tena fomu za CCM ili kugombea ubunge wa Ruangwa kwa kipindi kingine.

Wadadisi wengi wanajua na kusema, kwa kipindi kirefu mnoo tangu kuingia kwa Rais Samia, Mheshimiwa Majaliwa alikuwa kwenye shinikizwa kubwa la kutakiwa kuachia kiti cha uwaziri mkuu, lakini kimtindo akakaza, na maafikiano yakawa ni kutua taratibu kwa kuhitimisha safari yake mwisho wa awamu hii na baada hapo apumzike kisiasa.

Sasa hili tukio la wiki iliyopita la Mheshimiwa Majaliwa kutangaza kugombea tena Ubunge (ikiwa na maana anautaka tena uwaziri Mkuu) lilitushtua wengine, lakini hili tukio la leo la kutangaziwa tena kuwa hata gombea limetushtua zaidi wengi.

Swali kuu:
Je, Mheshimiwa waziri mkuu Kassim Majaliwa hakujua kuwa hatakiwi tena kugombea au alikuwa anatikisa kiberiti kuona kama kimejaa?
Mkuu siyo lazima kutanguliza neno ''mheshimiwa'' kila unapoandika jina lake. Tuache kulisha watoto wetu chakula cha utwana. Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini lina athari kubwa jinsi wananchi wanavyowaona viongozi wao.
 
Alikua anachekecha anataka kuwa PM kwa miaka 20
 
Wadadisi wengi wanajua na kusema, kwa kipindi kirefu mnoo tangu kuingia kwa Rais Samia, Mheshimiwa Majaliwa alikuwa kwenye shinikizwa kubwa la kutakiwa kuachia kiti cha uwaziri mkuu, lakini kimtindo akakaza, na maafikiano yakawa ni kutua taratibu kwa kuhitimisha safari yake mwisho wa awamu hii na baada hapo apumzike kisiasa.
Hili lina mashiko...
Sasa hili tukio la wiki iliyopita la Mheshimiwa Majaliwa kutangaza kugombea tena Ubunge (ikiwa na maana anautaka tena uwaziri Mkuu) lilitushtua wengine, lakini hili tukio la leo la kutangaziwa tena kuwa hata gombea limetushtua zaidi wengi
Hili kidogo lina uhusiano na lile pale juu...
Swali kuu:
Je, Mheshimiwa waziri mkuu Kassim Majaliwa hakujua kuwa hatakiwi tena kugombea au alikuwa anatikisa kiberiti kuona kama kimejaa?
Samia na GENGE lake wenyewe wapo ndani ya heka heka; hawawezi kuwa na 'luxury' ya kumpangia mtu mwingine yeyote kinachotakiwa kifanywe kwa wakati huu.

Sana sana, wangemvumilia na kunyamaza. Hata akiata ubunge; na wao kwa miujiza wabaki madarakani wasingeweza kuwa na deni lolote kwa Majaliwa!

NDIYO. Kuna jambo mahala lililomfanya Kassim kubabaika kiasi hiki; lakini hilo la kuyumbishwa na Samia na GENGE lake? HAPANA.

Tena kama ingekuwa ni hivyo, maana yake ni kwamba sasa wanama nafasi ya kuwazodoa na kuwaa za uso zaidi akiwa nje ya himaya yao.

Kuna jambo. Linaweza kuwa 'local' zaidi huko huko Ruangwa, kuliko haya ya akina Samia. na
 
Kwani keki ya taifa si yetu sote acha wengine nao wakafaidi utamu kama ice cream..
 
Akina Lukuvi unakuta ana mtoto mchanga umri ule hivyo hakuna namna
Hiyo shida ya vizee ving'ang'anizi
Kikiona bado kinaweza kuzalisha kinajiona bado kijana mdogo wakati umri ukienda possibly ya kuzaa toto bwege kiakili na kizezeta ni kubwa mno

Kwani mbegu zinakuwa zina IQ ndogo iliyozeeka japo toto linazaliwa ila bwege tu

Ukipeleka shule linakuwa bwege tu
 
Mheshimiwa Majaliwa alikuwa kwenye shinikizwa kubwa la kutakiwa kuachia kiti cha uwaziri mkuu, lakini kimtindo akakaza, na maafikiano yakawa ni kutua taratibu kwa kuhitimisha safari yake mwisho wa awamu hii na baada hapo apumzike kisiasa.
Ina maana huwa hawawekani sawa kabla ya kwenda kutoa speech hadharani mpaka mtu anatoa speech potoshi mara kwa mara? Ikumbukwe kule Njombe alisema officially Kiongozi yuko safi muda kidogo baadaye kauli ikakataa yenyewe, haya last week ametangaza officially kuchukua fomu leo akiwa nje ya sehemu ramsi anatengua kauli
 
Hatimaye kila kitendawili cha hatma ya kisiasa ya Majaliwa katika nafasi ya waziri mkuu kimehitimishwa rasmi leo baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa 'masikitiko' makubwa kutangaza rasmi kuwa hatachukua tena fomu za kugombea ubunge wa jimbo la Ruangwa, na hivyo kufuta ndoto zote za kuendelea kuwa waziri mkuu au hata kuwa sehemu ya serikali ijayo ya CCM.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo huku akionekana usoni kama mtu aliyekosa furaha fulani. Binafsi ninadhani masikitiko hayo hayajatokana na kuachia kiti hicho cha ubunge bali fedheha aliyoipata au atakayoipa kwa huo uamuzi wake sasa kwa kuwa wiki moja iliyopita tu, akiwa bungeni akitoa hotuba yake ya mwisho bungeni kwa furaha, kujiamini, bashasha na shangwe kuu alitangaza rasmi kuwa angechukua tena fomu za CCM ili kugombea ubunge wa Ruangwa kwa kipindi kingine.

Wadadisi wengi wanajua na kusema, kwa kipindi kirefu mnoo tangu kuingia kwa Rais Samia, Mheshimiwa Majaliwa alikuwa kwenye shinikizwa kubwa la kutakiwa kuachia kiti cha uwaziri mkuu, lakini kimtindo akakaza, na maafikiano yakawa ni kutua taratibu kwa kuhitimisha safari yake mwisho wa awamu hii na baada hapo apumzike kisiasa.

Sasa hili tukio la wiki iliyopita la Mheshimiwa Majaliwa kutangaza kugombea tena Ubunge (ikiwa na maana anautaka tena uwaziri Mkuu) lilitushtua wengine, lakini hili tukio la leo la kutangaziwa tena kuwa hata gombea limetushtua zaidi wengi.

Swali kuu:
Je, Mheshimiwa waziri mkuu Kassim Majaliwa hakujua kuwa hatakiwi tena kugombea au alikuwa anatikisa kiberiti kuona kama kimejaa?
Vijana wa sk hz mbn wapumbavu hivi? Mtu ameamua kwa hiari yake mwenyewe imekuwa nongwa, angegombea mngesema king-ang'anizi, kwl binadamu hawana wema. Sahz mmekuwa wapiga ramli, watanzania wengi ni wachawi
 
Hatimaye kila kitendawili cha hatma ya kisiasa ya Majaliwa katika nafasi ya waziri mkuu kimehitimishwa rasmi leo baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa 'masikitiko' makubwa kutangaza rasmi kuwa hatachukua tena fomu za kugombea ubunge wa jimbo la Ruangwa, na hivyo kufuta ndoto zote za kuendelea kuwa waziri mkuu au hata kuwa sehemu ya serikali ijayo ya CCM.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo huku akionekana usoni kama mtu aliyekosa furaha fulani. Binafsi ninadhani masikitiko hayo hayajatokana na kuachia kiti hicho cha ubunge bali fedheha aliyoipata au atakayoipa kwa huo uamuzi wake sasa kwa kuwa wiki moja iliyopita tu, akiwa bungeni akitoa hotuba yake ya mwisho bungeni kwa furaha, kujiamini, bashasha na shangwe kuu alitangaza rasmi kuwa angechukua tena fomu za CCM ili kugombea ubunge wa Ruangwa kwa kipindi kingine.

Wadadisi wengi wanajua na kusema, kwa kipindi kirefu mnoo tangu kuingia kwa Rais Samia, Mheshimiwa Majaliwa alikuwa kwenye shinikizwa kubwa la kutakiwa kuachia kiti cha uwaziri mkuu, lakini kimtindo akakaza, na maafikiano yakawa ni kutua taratibu kwa kuhitimisha safari yake mwisho wa awamu hii na baada hapo apumzike kisiasa.

Sasa hili tukio la wiki iliyopita la Mheshimiwa Majaliwa kutangaza kugombea tena Ubunge (ikiwa na maana anautaka tena uwaziri Mkuu) lilitushtua wengine, lakini hili tukio la leo la kutangaziwa tena kuwa hata gombea limetushtua zaidi wengi.

Swali kuu:
Je, Mheshimiwa waziri mkuu Kassim Majaliwa hakujua kuwa hatakiwi tena kugombea au alikuwa anatikisa kiberiti kuona kama kimejaa?
hatakiwi na nani?
 
Hatimaye kila kitendawili cha hatma ya kisiasa ya Majaliwa katika nafasi ya waziri mkuu kimehitimishwa rasmi leo baada ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa 'masikitiko' makubwa kutangaza rasmi kuwa hatachukua tena fomu za kugombea ubunge wa jimbo la Ruangwa, na hivyo kufuta ndoto zote za kuendelea kuwa waziri mkuu au hata kuwa sehemu ya serikali ijayo ya CCM.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo huku akionekana usoni kama mtu aliyekosa furaha fulani. Binafsi ninadhani masikitiko hayo hayajatokana na kuachia kiti hicho cha ubunge bali fedheha aliyoipata au atakayoipa kwa huo uamuzi wake sasa kwa kuwa wiki moja iliyopita tu, akiwa bungeni akitoa hotuba yake ya mwisho bungeni kwa furaha, kujiamini, bashasha na shangwe kuu alitangaza rasmi kuwa angechukua tena fomu za CCM ili kugombea ubunge wa Ruangwa kwa kipindi kingine.

Wadadisi wengi wanajua na kusema, kwa kipindi kirefu mnoo tangu kuingia kwa Rais Samia, Mheshimiwa Majaliwa alikuwa kwenye shinikizwa kubwa la kutakiwa kuachia kiti cha uwaziri mkuu, lakini kimtindo akakaza, na maafikiano yakawa ni kutua taratibu kwa kuhitimisha safari yake mwisho wa awamu hii na baada hapo apumzike kisiasa.

Sasa hili tukio la wiki iliyopita la Mheshimiwa Majaliwa kutangaza kugombea tena Ubunge (ikiwa na maana anautaka tena uwaziri Mkuu) lilitushtua wengine, lakini hili tukio la leo la kutangaziwa tena kuwa hata gombea limetushtua zaidi wengi.

Swali kuu:
Je, Mheshimiwa waziri mkuu Kassim Majaliwa hakujua kuwa hatakiwi tena kugombea au alikuwa anatikisa kiberiti kuona kama kimejaa?
Kwani kugombea ubunge unatakiwa utakwe na nani?
 
Back
Top Bottom