Plots zinauzwa Msongola Ilala

Plots zinauzwa Msongola Ilala

Gor

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,791
Reaction score
850
Ndugu wananchi kuna plots/viwanja za bei rahisi kabisa Msongola- Ilala zina ukubwa zifuatavyo:

40ft kwa 50ft = 2milion
80ft kwa 100ft = 3.8 milion:cheer2:

contact: 0717288306(Ogiro)

*Umeme upo karibu sana na eneo la viwanja*
*Unaweza kudouble kadri ya uwezo wako*

*Commision ya elfu 50,000/= ipo kwa yeyote atakaye leta mteja na kadri mteja anavyodouble ndivyo commission yako itakavyo double*

"Plots zote ziko sehemu tambarare na mchanga ni hapo hapo,maji yapo karibu"
"Usimalize mwaka 2014 bila kumiliki plot!unaweza!"

contact: 0717288306(Ogiro)
 
Msongola ipo sehemu gani ya ilala? Naomba direction yake
 
Ndugu wananchi kuna plots/viwanja za bei rahisi kabisa Msongola- Ilala zina ukubwa zifuatavyo:

40ft kwa 50ft = 2milion
80ft kwa 100ft = 3.8 milion:cheer2:

contact: 0717288306(Ogiro)

*Umeme upo karibu sana na eneo la viwanja*
*Unaweza kudouble kadri ya uwezo wako*

"Plots zote ziko sehemu tambarare na mchanga ni hapo hapo,maji yapo karibu"
"Usimalize mwaka 2014 bila kumiliki plot!unaweza!"

contact: 0717288306(Ogiro)

Hati miliki ipo?hatutaki offer
 
Msongola ipo sehemu gani ya ilala? Naomba direction yake
..Msongola ipo ilala,kule walikojengewa wahanga wa mabomu ya gongolamboto,ukitaka kwenda una pita mbagala au gongolamboto.
 
Hati miliki ipo?hatutaki offer
..wewe uliza hati miliki wakati waarabu na wahindi ndio wanunuzi wakuu!.Haya ni mashamba ya wenyeji wanawauzia ili mnunue mmliki nyumba zenu.....njoo mkuu kuna private surveyor.
 
Ndugu wananchi kuna plots/viwanja za bei rahisi kabisa Msongola- Ilala zina ukubwa zifuatavyo:

40ft kwa 50ft = 2milion
80ft kwa 100ft = 3.8 milion:cheer2:

contact: 0717288306(Ogiro)

*Umeme upo karibu sana na eneo la viwanja*
*Unaweza kudouble kadri ya uwezo wako*

"Plots zote ziko sehemu tambarare na mchanga ni hapo hapo,maji yapo karibu"
"Usimalize mwaka 2014 bila kumiliki plot!unaweza!"

contact: 0717288306(Ogiro)

Nyie watu bana sasa unapouza kiwanja cha 40*50 ft ambazo ni 12*15M unakua unataka nini kama sio kutengeneza skwata zisizo na tija?

Lets calculate 2m kwa (40*50FT) 180SQM= 11,111/=per SQM

3.8m kwa (80*100FT) 720SQM=5,277/= per SQM

hebu tupe bei ya 160*200FT huenda nikakupigia
 
Hahahaha hii kali.
Viwanja vinauzwa Kigamboni kichangani njia ya dar zoo kwa mbele. Tsh 7000/sqm vimepimwa na offer na hati watafuatilia wao kwa makubaliano yenu.
 
Hahahaha hii kali.
Viwanja vinauzwa Kigamboni kichangani njia ya dar zoo kwa mbele. Tsh 7000/sqm vimepimwa na offer na hati watafuatilia wao kwa makubaliano yenu.
Naomba mawasiliano plz number za simu naitaji kiwanja
 
Hivi jaman sqm 71 siwezi nikajenga nyumba nzuri kabisa?
 
Hivi jaman sqm 71 siwezi nikajenga nyumba nzuri kabisa?


Ndio huwezi kujenga nyumba nzuri kabisa katika eneo la square meters 71 , hilo ni eneo lenye kipimo kama mita 9 kwa mita 8, unaweza kujenga fremu nzuri kabisa ya biashara...
 
Ndio huwezi kujenga nyumba nzuri kabisa katika eneo la square meters 71 , hilo ni eneo lenye kipimo kama mita 9 kwa mita 8, unaweza kujenga fremu nzuri kabisa ya biashara...

Kwani Sqm zinahesabiwaje mkuu?
 
Kwani Sqm zinahesabiwaje mkuu?


Chukulia mfano kiwanja kiko katika umbo la msitatiri (rectangle) basi ukipima upande wa kaskazini ukapata mita 15, halafu ukapima tena upande wa mashariki au magharibi ukapata mita 20, kwahiyo square meter za eneo lako utachukua mita 15 kuzidisha kwa mita 20, hapo utapata sqm 300
 
Chukulia mfano kiwanja kiko katika umbo la msitatiri (rectangle) basi ukipima upande wa kaskazini ukapata mita 15, halafu ukapima tena upande wa mashariki au magharibi ukapata mita 20, kwahiyo square meter za eneo lako utachukua mita 15 kuzidisha kwa mita 20, hapo utapata sqm 300

Asante mkuu nimeshakuelewa
 
Ndugu wananchi kuna plots/viwanja za bei rahisi kabisa Msongola- Ilala zina ukubwa zifuatavyo:

40ft kwa 50ft = 2milion
80ft kwa 100ft = 3.8 milion:cheer2:

contact: 0717288306(Ogiro)

*Umeme upo karibu sana na eneo la viwanja*
*Unaweza kudouble kadri ya uwezo wako*

*Commision ya elfu 50,000/= ipo kwa yeyote atakaye leta mteja na kadri mteja anavyodouble ndivyo commission yako itakavyo double*

"Plots zote ziko sehemu tambarare na mchanga ni hapo hapo,maji yapo karibu"
"Usimalize mwaka 2014 bila kumiliki plot!unaweza!"

contact: 0717288306(Ogiro)

mkuu, kule porini kote ndiko unauza viwanja aghari hivyo wakati mimi nilikuwa na eka moja pale jirani na shule ya msingi nikaiuza kwa 15M? ina maana mimi sina akili? halafu kwa taarifa yako bado kuna viwanja vya kumwaga kule msongola magengeni vinauzwa kwa bei chee kuliko hizo bei zako za kifisadi. usitufanye hatuijui Dar.
 
Nyie watu bana sasa unapouza kiwanja cha 40*50 ft ambazo ni 12*15M unakua unataka nini kama sio kutengeneza skwata zisizo na tija?

Lets calculate 2m kwa (40*50FT) 180SQM= 11,111/=per SQM

3.8m kwa (80*100FT) 720SQM=5,277/= per SQM

hebu tupe bei ya 160*200FT huenda nikakupigia

daaahhh shiiiida
 
Ndugu wananchi kuna plots/viwanja za bei rahisi kabisa Msongola- Ilala zina ukubwa zifuatavyo:

40ft kwa 50ft = 2milion
80ft kwa 100ft = 3.8 milion:cheer2:

contact: 0717288306(Ogiro)

*Umeme upo karibu sana na eneo la viwanja*
*Unaweza kudouble kadri ya uwezo wako*

*Commision ya elfu 50,000/= ipo kwa yeyote atakaye leta mteja na kadri mteja anavyodouble ndivyo commission yako itakavyo double*

"Plots zote ziko sehemu tambarare na mchanga ni hapo hapo,maji yapo karibu"
"Usimalize mwaka 2014 bila kumiliki plot!unaweza!"

contact: 0717288306(Ogiro)

vipimo vyako viko katika mita au futi? 40ft=13m na 50ft=16m kwa hiyo hiki kiwanja kina kama 208sq metres.
Standard house ina urefu wa meter angala 14 kwa nyumba ya square kwa mkao wa kiwanja chako. kwa kiwanja hiki septic tanks unajengea wapi?

Au umeleta kichekesho cha kufungia mwaka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom