Elisante Yona
Senior Member
- Oct 6, 2009
- 130
- 24
Ndugu kwa hali ilivyo hapa Tanzania
Lolote linaweza kutokea,Mungu tuepushie mbali
Elisante Yona
Lolote linaweza kutokea,Mungu tuepushie mbali
Elisante Yona
It reminds me of Mwaikambo!
Ama kweli " bichwa vya wenda wazimu' . Hii nchi itaishia wapi.Bado kuna watu wanaiona Richmond ilikuwa halari. Na hiyo jaziba ya ndugu yenu Lowasa mpaka akajiuzulu, si kuwa aliona ameisha umbuka na hakuwa na nguvu ya kusimama tena mbele ya umma na kujieleza? Lait mngeliona jinsi wasiojua kuutumia huu mtandao wanavyotamani kufa ili waiache hii nchi. Ole wenu siku ya hukumu yenu nyoyo zenu zitajificha wapi. Pole sana Sita wachache tuko na wewe na mwisho tutawaumbua hao wanaofikiri kuwa kila siku ni Christmas. Machozi ya wanyonge hayamwagagiki hovyo . Beleave me or not. Days are numbered and that could be reversed.