Please wadau ushauri to rescue my marrige

Please wadau ushauri to rescue my marrige

Mtuhurumawazo

Senior Member
Joined
May 19, 2012
Posts
146
Reaction score
27
Mimi ni kijana wa miaka 29 ninaishi na mke wangu ana umri wa miaka 24, tumefanikiwa kupata mtoto mmja wa kiume. shida kubwa nilionayo au tatizo linalojitokeza ni kwamba mke wangu hafurahii tendo la ndoa kabisa ila kabla ya kujifungua haikuwa hivyo na muda mwingine ndo hataki hata nikimgusa. nimejaribu kufikilia nakosa majibu wadau naomba mnisaidie maana mawazo ya nje kapu yameshaa kujengeka kichwani mwangu kitu ambacho kinapingana na nafsi yangu mno maana huu ndio mwanzo wa kujenga familia isiyo na mwelekeo.
 
Unaingia tu au mnacheza cheza kwanza? Kinachompa hamu unapashika au kulamba? Ongea nae kwa kimapenzi sio hasira mkiwa kitandani mmekumbatiana mwambie umpendavyo... Then muulize ongelea hilo tatizo mtaelezana na kupanga wote kulitatua. Inawezekana pia wewe ulimuuzi na ukaua penzi lake kwako..
 
Huwa naamini matatizo mengi ya wanandoa yapo ndani ya uwezo wao wa kuyatatua. Mkikaa vizuri mkajadiliana chanzo na mwendelezo mtafikia suluhu. Sisi wengine tutatia umbea tu. Tukikwambia mkeo anapigwa nje ndio maana hana hamu na wewe si ndo utahama familia kabisa? Kaa na mkeo tena kimahaba myazungumze na kuyamaliza.
 
aisee,ngoja kwanza ifike saa mbili nikanywe chai halafu nitarudi
 
Mambo ya kawaida kwenye ndoa, ndoa ni kama barabara za kibongo, hata kama kuna lami kukuta tuta ni kawaida.
 
Tafuta kuna thread humu ya tangu mwaka 2009 majibu yako yote yapo humo.

Kama ukijifunza kuitumia JF vizuri wala huna haja ya kuanzisha thread mpya. Majibu yote yapo humu humu siku nyingi tu.
 
Tafuta wa kufurahia nae nje ya ndoa
 
Unaingia tu au mnacheza cheza kwanza? Kinachompa hamu unapashika au kulamba? Ongea nae kwa kimapenzi sio hasira mkiwa kitandani mmekumbatiana mwambie umpendavyo... Then muulize ongelea hilo tatizo mtaelezana na kupanga wote kulitatua. Inawezekana pia wewe ulimuuzi na ukaua penzi lake kwako..
nikuelewa ndugu.
 
Mtuhurumawazo, Matatizo ya ndoa hujibiwa na wanandoa wenyewe, Kosa kubwa ni kulimbikiza matatizo mpaka ifikie hayavumiliki, Labda nikuulize mtoa mada, Je tatizo hili lipo toka mlipo anza mahusiano au limekuja baadae ?? kama limejitokeza baadae shughulikieni chanzo chake kwa upendo , litaisha
 
Last edited by a moderator:
Ongea naye taratibu akuambie sababu ikibidi muende hospitali niliwahi kuambiwa na dokta kuna ugonjwa unasababisha kukosa hamu ya kufanya mapenzi kwa wanawake may be she is suffering from it.
 
Zungumza na mkeo
Sometimes akijifungua hamu hutoeka kwa muda
Au msongi wa mawazo
Au kazi nyingi zimemzidia
Au njia za uzaU wa mpango

Mbadilishe pia na mazingira na tafuta sehemu mpua za kumsisimua
 
Pole sana... mi napenda kujua wakat anajifingua alipatwa na tatzo lolote? Alijifungua kawaida au operation, km kawaida alichanika au kuongezewa njia?? Afu ntajua jibu la kutoa
 
Mtuhurumawazo, Matatizo ya ndoa hujibiwa na wanandoa wenyewe, Kosa kubwa ni kulimbikiza matatizo mpaka ifikie hayavumiliki, Labda nikuulize mtoa mada, Je tatizo hili lipo toka mlipo anza mahusiano au limekuja baadae ?? kama limejitokeza baadae shughulikieni chanzo chake kwa upendo , litaisha
Tatizo hili limeanza baada ya kuupata mtoto.
 
Back
Top Bottom