Plate number: RC DSM Vs Lord Mayor DSM

Watu wa lumumba kabla ya kupost utumbo wenu ingien kwenye account za mtoa mada. Maana mnatia aibu. Au hamjui hata kuingia kwenye page ya mtoa mada??

Kwa uandishi huu huyu atakua ccm au CDM! Twaweza waliwapatia
 

Tanzania kwanza
 
DC nae yupo serikali kuu ama mitaa.?
 
nyie woote ni wapumbavu na vichaa na mnaishi kwa kukalili na chuki mashetan hebu mfuatilien huyo mtoa mada martine george kama ni wa ufipa, HUYO NI KADA MWENZENU MTIIFU KAWATIA AIBU MNASINGINZIA UFIPA WAKATI HILO NI ZAO LA LUMUMBA FC
Una ushahidi gani?
 
Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
....
...wewe ndo boganzii kabisa Rethink Mkuu
 
Number plate
Vijana wa bavicha wana uwelewa mdogo sana wa mambo ya serikali.
Ndio maana sumaye kasema ameenda chadema kuwafundisha mambo ya kiserikali
Ngoja nisubiri wenye akili timamu waje wachangie maana nyie vichaa mnatupotezea wakat
Inawezekana aloleta hoja hata sio wa ufipa,
Mbona mnakua na mawazo butu sana.
Alotoa ufafanuz hajaweka mbwembwe wewe unaanza kuleta

Hamkui tu

May Allah bless Me and You
Acha akili za kipumbavu.huyu aliyeuliza hajasema yuko upande gani,nia yake ni kutaka kujua na ametusaidia na wengine ambao hatufahamu.

Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
Umejaa upepo wa nini wee nyumbu tuliza mshono ufunike ujinga wako

Post sent using JamiiForums mobile app
Ujinga mwingine tena kutoka chadema
Jamani nimecheka Sana. Inaonekana wote mna stress
 
Vijana wa bavicha wana uwelewa mdogo sana wa mambo ya serikali.
Ndio maana sumaye kasema ameenda chadema kuwafundisha mambo ya kiserikali
Kwa hiyo mleta mada ni kutoka bavicha?

Wee jamaa ni zezeta na wa kupuuza,akili zako zimejaa m@vi tu!

Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo mleta mada ni kutoka bavicha?

Wee jamaa ni zezeta na wa kupuuza,akili zako zimejaa m@vi tu!

Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
Majibu ya kibavicha haya
 
Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hadi hapo kwenye koma ya kwanza umeonekana ni kijana muungwana sana.

Japo ujinga kamwe haujifichi kilichofuata......

Twende mbele turudi nyuma. Wote humu ndani tuko kwa minajili mikuu mwili kama si mitatu
1. Kuhabarishana
2. Kuelimishana na
3. Kuburudishana

Hilo la kudharauliana sijui chini hizi kama zitaweza kututoa nafasi hii tuliopo kiumasikini na kiwango cha nchi yetu viwango vya mpira duniani.

Tuamke vijana wenzangu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Vijana wa lumumba huwasema chadema hawana akili lakini hawatuambii kama viongoz waliosaini mikataba ya ki-Mangungo na leo wanatuambia tunaibiwa kwamba hawa ndiyo wenye akili
 
Huo sio ushahidi ni dhana tu uliyokuwa nayo
Kweli mna kazi kama hata hili nalo unataka ligi wakati liko wazi!!! Ila nadhani pia misijisahau sana maana mnaweza kudumaa kiakili maana najua huwa ni makusudi.
 
Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa kuchangia mada.

Unalakuongeza zaidi?
 
nyie woote ni wapumbavu na vichaa na mnaishi kwa kukalili na chuki mashetan hebu mfuatilien huyo mtoa mada martine george kama ni wa ufipa, HUYO NI KADA MWENZENU MTIIFU KAWATIA AIBU MNASINGINZIA UFIPA WAKATI HILO NI ZAO LA LUMUMBA FC
Wasamehe mkuu, hawajijui.

Wao buku 7 ndio habari ya mjini, ni mwendo kupishana kama panya
 
Kweli mna kazi kama hata hili nalo unataka ligi wakati liko wazi!!! Ila nadhani pia misijisahau sana maana mnaweza kudumaa kiakili maana najua huwa ni makusudi.
Uwazi wake kama unaujua si utuambie sasa.?!?
 
Mkuu hongera kwa ufafanuzi, vijana wa Ufipa wao kulalamika hata kwa wasilojua, wamekua na lawama kama watoto wanaolelewa na mama wa kufikia

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app

We ni punguani maana aloletaada no wa Lumumba na lengo ni kutaka kuonyesha chadema hawataki kutumia bendera ya taifa,
Uwe unatumia akili viroba hamna SKU hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…