Planned kids vs unplanned kids, usidanganyike

Planned kids vs unplanned kids, usidanganyike

Haya mambo ya kusema watoto watakusaidia unabidi kuachana nayo Kama Una pesa Fanya uwekezaji mzuri na kata bima kubwa.

Naongea Kwa uzoefu ambao nimeuona wazazi waliozaa watoto wengi ndo ambao watoto wao wamewatalekeza wala hawawakumbuki.

Hivyo usiweke mategemeo yoyote Kwa watoto ikitokea amekusaidia na kukujali itapendeza Ila usiweke mategemeo yoyote.


Watoto hawawezi kuwa security yako .
Ni muhimu sana mwanaume kujiandalia maisha yake ya uzeeni, watoto wakiwa wakubwa na kuanza kujitegemea wana kawaida ya ku-reside zaidi upande wa mama
 
Tatizo la Afrika sio over population, tatizo ni utilization of resources.
 
Tatizo la Afrika sio over population, tatizo ni utilization of resources.
Misallocation of resources ndo shida zetu Africa wewe angalia ufaransa ina watu 85m ila eneo lao ni nusu ya eneo la Tz yenye watu 60m, tatizo ni vipaumbele vyetu.
 
Mkuu naona umenielewa ila sijasema unazaa ili wawe future investiment hapana, watoto na sehemu ya furaha kwa wazazi, suala la kufanikiwa ni Mungu kuna mwenye watoto wawili, ila wote maisha yamegoma bado wako kwao.

Nimekuelewa mkuu
 
Haya mambo ya kusema watoto watakusaidia unabidi kuachana nayo Kama Una pesa Fanya uwekezaji mzuri na kata bima kubwa.

Naongea Kwa uzoefu ambao nimeuona wazazi waliozaa watoto wengi ndo ambao watoto wao wamewatalekeza wala hawawakumbuki.

Hivyo usiweke mategemeo yoyote Kwa watoto ikitokea amekusaidia na kukujali itapendeza Ila usiweke mategemeo yoyote.


Watoto hawawezi kuwa security yako .
Watoto wenyewe hawana rasilimali na wewe huna msingi wowote wa kiuchumi ,hao watoto watakulea kwa uchumi upi?
 
Back
Top Bottom