Pisi zitaniua

Ni kitu gani cha tofauti unapata kutoka kwao zaidi ya kutoa mkojo mzito?
Nini tofauti yao?
 
Unajua girl anapanda hadhi kutokana na unavyomtreat....Jamaa hapo umemshauri vizuri lakini alipata girl mfano wa 50 per mwezi....baada ya mda girl akiona jamaa anavisent ataanza badilika jamaa apandishe Hadi 200k au 100k.
Visenti ni kujionyesha dem mkazie haswa akikuimba pesa mpe buku dasi, Unampeleka lodge ya buku tano unamchapa ukimaliza unamwambia kuna sehem unawai.
Akikuacha unatafuta mwingine.
 
Inamaana umeamua kufanya maamuzi ya kibabe ingawa bado unampenda.

Kikubwa tafuta amani ya rohoni maana hujaumbwa kuja kuteseka hapa duniani.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Well done, but the scenes evidence are very clear that too much is harmful, means that even if you have decided to display a true love to your closely relative wife or girl, make sure it is within the moderate scale rate for yourself suitable health benefits.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
sure mkuu....she knew how to play me hahahaha lazima nikasirike na kuumia....

She is smarter sana....japo hana maisha marefu kwastyle yake ya maisha ila God is good all the time...
 
Unapata wapi ujasiri wa kudate na Ke kwa rika hilo Ndugu?

Huoni wewe ndiye tatizo hapo?

Kwa 70% - 80% Ke katika rika hilo hawajapevuka kiakili na huwa wanaamini bado wana soko sana katika kupendwa na Me yeyote, hivyo hupelekea kuwa na viburi, maringo na hata kuona akipigwa chini atatongozwa na Me mwingine wakati wowote.

Huyo Ke yuko sahihi kuwa katika hali hiyo, ni sawa na sisi Me huwa kuna rika la Uvulana (16- 29) na rika la Uanaume (30 kuendelea).

Kiufupi huyo Binti hawezijutia chochote sasa hivi hadi atapoachwa na huyo Dereva, pia huwa Ke wa rika hilo hawanaga siri na misimamo katika mahusiano yao sababu bado damu ni changa.

Kila la heri katika chaguo lako la pili.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…