Dk 20 ni kikao?Mkuu nishatoa pis moja huko loliondo ukoo wa ng'aida, ilikuja kwa nauli yake na kurudiπ π π
Hii nayo jana niliikalisha kikao cha simu dk 20+ ikakubali kuja yenyewe
View attachment 2530435
Yes mkuu, sio msanii but anapenda vitu ambavyo najua itamcost siku moja....Anapenda trends kwani ye ni msanii? Anajitia usley asiokuwa nao au?
Na kwanini anatesa watoto wa watu na vikao, si atume tu nauli kwani sh ngapi
Wanajijua walio jam sigal π π π then wakajipanga kwa msela nae bila aijizi akafanya yake , na hatimae penzi likafa .. msela noma lazima akutangaze kaacha chata au mdada mwenyewe ajitangaze sijui anawapa manini tuHii stori inabidi itolewe ufafanuzi
Kwa mwenye jicho la Tai atagundua love style uliyoingia nayo kwa huyo main chick wako ilikuwa ya kumvutia upendo kwako Me wala si kumjengea upendo Ke kwako.@Depal honestly sikuwa na sababu ya kuharibu friendship yao....
Nilimpenda sana mainchick.... Alafu kipindi naanza nae mianya ya pesa ilikuwa mingi so I used to surprise her na nilimpenda sana....kias kwamba hata akija ghetto basi atashinda na simu yangu (sikuwa na mchepuko hata mmoja)
pia ameishawahi tumiwa simu yangu like one whole week
Shida nilikuja gundua mainchick anadate na jamaa flan hv dereva.... kupitia bestie maana that time (mainchick) alinitesa sana na akachange...imagine namplease aniambie nakosea wapi kmya
Pia namplease kama mahitaji yameongezeka nimpe ngapi kimya...
Basi katika kupuuziwa bestie apo anajua yote... alipata shida flan hv akaniita kwake and we ended up dating cause aliona nilivyo na true love
Unajua girl anapanda hadhi kutokana na unavyomtreat....Jamaa hapo umemshauri vizuri lakini alipata girl mfano wa 50 per mwezi....baada ya mda girl akiona jamaa anavisent ataanza badilika jamaa apandishe Hadi 200k au 100k.Tafuta wa bei ndogo.
PoleYes mkuu, sio msanii but anapenda vitu ambavyo najua itamcost siku moja....
Imagine laki 150 Kwa mtu anaekaa home kwao na anaona haimtoshi...hapo umenunulia na kasamsung S10.
Au wanampapatikia wenyewe, ndio maana haoni haja ya kutuma.
Angempenda kweli angetuma hadi na ya kutolea
Unanitisha mkuu.Ke wote wako vizuri mno kuigiza tabia kabla hujajitwalia jiko mazima, muowe sasa ndipo utajua hujui, tafakari usijeingia kwenye mdomo wa mamba kwa mtego wa tabia za maigizo.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
dear Depal, vikao vingine vinainua nye.ge sana mpaka tunaahirisha mkutano.
Baadae utakuja kulia tena kama unavyolia huyo wa mwanzo alichokufanyieYes i like simplicity sana pia yupo real sana anaongea unamsoma kuwa hapa kuna mtu...
pia sikumpokea mainchick kwasababu anajua namkubali basi amejipa ownership kuwa anaweza ingia muda wowote....
I will try my best asante kwa ushauri...maana bestie anaona text na anasimuliwa na sipend mkwaza nitajitahidi.
π€£π€£π€£π€£ Si ndioAngetuma na ya π―π
aisee, mi najuaga ni utani kumbe wana pasuana kweli ?Wanajijua walio jam sigal π π π then wakajipanga kwa msela nae bila aijizi akafanya yake , na hatimae penzi likafa .. msela noma lazima akutangaze kaacha chata au mdada mwenyewe ajitangaze sijui anawapa manini tu
Second mistake to your main chick.Nimekujibu sababu....yan sikuwa na sababu hata kidogo Yan....mainchick nikituma screenshot zake utagundua kuna wanawake wapumbavu....utaona kama nimekosea au vipi
Watu wapo serious kuchanganya virainishi, sema wanawake wa humu ni vitasaaa sana wachache sana wana akili ila wengi wao mafurushi π€£π€£ ambayo ni advantage kwa wazee wa kula kisela...aisee, mi najuaga ni utani kumbe wana pasuana kweli ?
njia Yoyote, niko na Eli Roth hapa, ndani Cabin Fever 2
sijui niweke screenshot hapa, sahizi asubuhi hii baada ya kunishauri nimemcheck the answer is awful....Pole
Mpe ukweli
Achague pa kushika
Ukiacha ajue mwenyewe utakuwa umeharibu
Kwa nini mpendane mpaka watu wajue hivi hamuwezi kwenda kimnyato[emoji28][emoji28][emoji28] we pendana na mtu humu, uone waja watavyo pambania ku jam signal..