Pisi zitaniua

Tafuta wa bei ndogo.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kama yupo humu af akajiona? Utampeperusha
I dont care at allπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
infact mimi sio domo zege..
I can speak and get utelezi and f***k at any timeπŸ˜‰πŸ˜‰
 
Na leo Bamako tunashinda. Naandika kwa experience kaka. Mwaka jana nimekula nyapu za kila aina. Ninatoa pisi Mwanza inakuja Dom hapo laki 3 imekata. Hapa naandika kuna text imeingia naambiwa "mambo hubby" kinachofata ni mzinga.
K zinafilisi, naacha k
Hata Makolokolo pia wanakufilisi akili, stuka uje Utopolo uneemeke afya kiakili [emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
hahahaha nataka nifanye permanent maana hii bestie ni material haswa....yani hata vizinga hadi nijiongeleshe.... Pia anajua maisha sana
Ke wote wako vizuri mno kuigiza tabia kabla hujajitwalia jiko mazima, muowe sasa ndipo utajua hujui, tafakari usijeingia kwenye mdomo wa mamba kwa mtego wa tabia za maigizo.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Si bora wewe mi jana nimetoka na 20 tu nikasema ikiisha tu home .Hapa kuna vitu naona nililipia kwa simu ila sijui ni nini nililipia .Nachokumbuka nilikua na mali mbili sijui niliziokota wapi.
 
"Pale ambapo penzi liko katika hatua za awali" tuliosomea unajimu tumeshakuelewa[emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…