Pisi zitaniua

Hauko pekeako mkuuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

jana nimetumia mda wangu mwingi sana kutongoza pisi kali kutoka Mashati Rombo na ikaelewa show

nimeongea nayo mda mwingi sana na ikakubali kuolewaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Iko hivi mwanamke akiona huna hofu ya kuachana nae hatofanya ujinga ila akishaona umenasa hupindui basi hakuna rangi utaacha kuonah
only if ikiisha vizuri mkuu...

ila gharama za vizinga ni Noma ndo maana nimepunguza kuwasiliana na mainchick nipo na bestie....

Wanawake huwa mnashangaza sana, you think you can freak out and back kwa jamaa yako anaekujali na kukuthamini and he'll be okay with it?
 
Don’t go directly
Utaharibuuuu

Kama husiano lenu halina mizizi imara ukienda direct unaharibu.

Tumia techniques
Extrovert akupee πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Twlw
Shida ya telegram oda unayo request vs post advertising ni mbili tofauti.
Unaoda chapati unaletewa mihogo.
Wazee wa codes wamenielewa.
Mnahangaika sana na hii dunia igeni mfano kwangu mpate kuneemeka Mazee.

Pia kujamiiana kunapunguza nguvu za mwili sana.

Kiipindi flan nilitafuna papuchi ya Mke zaidi ya wiki nzima, nilipoenda mazoezini nilipoteza kabisa pumzi.

Nilikuwa naweza kukimbia masaa mawili au 1:30 kisha naunganisha mazoezi ya viungo zaidi ya dakika 20/15 lakini ghafla nilijikuta nikitumia saa 1 tu kukimbia huku nikiwa nimetokwa ulimi nnje mithili ya Mtu anayekata roho [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Fungukeni tujifunze
ukiwa na a man...usimzoeshe hata kuwa na number ya rafiki yako....

Mda flan relationship inapitia scrumble blocks kibao, jitahidi kutopunguza mawasiliano, meeting na lugha nzuri zitumike...

Maana mda unajibu shit like you don't care...your man anamuuliza bestie ako kama unakosea mahalo na huko ndo anaenda jumla.
 
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Halafu wanajifanya hawamjui muhusika wakati wali Jam signals!
Wachawi kinoma, walimtubulia.. wale walikuwa wanapendana .. ila waja wanga, wakaone wajirahisishe awapasue ili wavuruge penzi.. yule mwanamke jamaa alikuwa kapata bahati ila next kaokota vitu vya ajabu ajabu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Sawa kiongozi
 
Hii inanitesa hadi dakika hii Depal but najua mainchick ni girl flan anapenda trend, kula hotelin , circle ya marafiki zake ukiachana na bestie sio nzuri...

Kingine bestie, hapendi going out, hadi umvute, and anashukuru hata kwa kidogo anachopewa.
Anapenda trends kwani ye ni msanii? Anajitia usley asiokuwa nao au?
 
Hii stori inabidi itolewe ufafanuzi
Story ni nyekunduu
Ila wanaa wa jf mnataka kufosi iwe kijani
Na hivi hamna access ya kujua lolote
Basi mnahangaika kama kuku alotolewa kichwa
😁😁

Sitaki kublock watu wapya
Okoteza okoteza kila unachoona kinaaandikwa, we beba.
Me am okay with all
As long as sili Jf πŸ’―
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…