Pisi zitaniua

Hold on 🀣🀣 Hoodrat ni nani tena? Nijibu tuendelee
 
Amemaindi flagi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ishi sana tu.
 
Mkatie mazima mainchick, uzuri bestie hawez fanya makosa hapo. Anajua akizingua unahama.
 
Duh
Sa sikia
Mwambie ukweli.. achague kushuka kuwa kiside babe au asepe.

Ila umetengeneza uadui hapo balaaa

Kwanini mnatongoza marafiki? Hata kama mtu kakosea,, uwa mnakuwa na mlengo wa kumkomesha aliyekosea au?
 
Tafakari ubora wa hiyo alternative pia!!
 
Fact mkuu....@Depal usinilaumu Sana ...na hiyo yote ni sababu mainchick aliona nampenda... Maana nilikuwa mtulivu kuna kipindi naumwa hoi lakini akiomba hela napiga simu anatumiwa, Hali akinihitaj anytime nipo free, outing na vngne vingi

but sisi introvert tunajaribu, nilijaribu mwaka mzima bila mafanikio ndio bestie akasogea kwangu
 
Dah
 
Duh
Sa sikia
Mwambie ukweli.. achague kushuka kuwa kiside babe au asepe.

Ila umetengeneza uadui hapo balaaa

Kwanini mnatongoza marafiki? Hata kama mtu kakosea,, uwa mnakuwa na mlengo wa kumkomesha aliyekosea au?
🀣 Hahaha kushuka vyeo atalia tena hasa akijua beste anammegea apple lake.

Wanawake huwa mnashangaza sana, you think you can freak out and back kwa jamaa yako anaekujali na kukuthamini and he'll be okay with it?
 
I will make it official inshallah.... na yote haya nilikuwa namwambia mainchick kwamba katika ubaya nitaona wema wa wengine akawa anasema namtishia nifanye ninavyoona....
We huyo kata line tu, hata usimwambie ili ahangaike na nafsi yake. Theres a big difference between being available and non existent.
 
Duh
Sa sikia
Mwambie ukweli.. achague kushuka kuwa kiside babe au asepe.

Ila umetengeneza uadui hapo balaaa

Kwanini mnatongoza marafiki? Hata kama mtu kakosea,, uwa mnakuwa na mlengo wa kumkomesha aliyekosea au?
hapana sio kumkomesha....mfano mimi kuonana na girl nikampenda ni ngumu na majukumu yanabana

Sasa katika maumivu yale ndio nikamuona bestie ake.... tena siku yenyewe mainchick alihitaji viatu nikamwambia mama naomba nikakununulie mimi then nije nikuone alikuwa kwa wazazi that day, akasema anaweza asitoke so nimpe bestie friend atanunua mm nisihangaike

Bestie friend nikamtumia and sasa akawa anashangaa y friend ake anafanya maujinga yale .. the day I and bestie met nilienjoy sana, she breath positivity.... Upstairs she is so great na alikuja na makanga na ndala (I like simplicity)

Nikaanza date nae 3 week later baada ya kutotafutana na mainchick but ghafla amerudi tena
 
Ok
Ulikuwa unahudumia
Moto je? Ulichochea vyema?
Yes nilikuwa namhudumia vizuri tu , Moto napeleka vizuri (siwezi msemea yeye) shida kubwa kwamujibu wa Shem inaonekana alianza na the guy mda mrefu....

So I can't blame her, japo nahasira and I loved her sana kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…