Pipo za JF

Just to mention a few
 
Mkuu kwenye fake people hapo sio masistaduu peke yao. Hapo kuna watu kibao wanaingia hapo me na ke. Wapo wale wa kujiona bora kuliko wenzao, kimawazo, kifikra, kimakazi, kikazi, kuishi nje n.k.
Wapo wale wanataka kuaminisha watu wana maisha makubwa sana na mafanikio, wakijificha nyuma ya keyboard. Kiuhalisia wananuka shida na mahangaiko.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ