DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
AAH! Kumbe jamaa hakuwa na uraia wa uwingereza?
Tunajua mtashindwa vibaya huko Chalinze , lakini tunataka mshindwe kihalali, sio kufanya makosa kwa makusudi kwenye kujaza fomu ili msishiriki uchaguzi. Janja yenu tuliishaishtukia
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la chalinze amemtangaza Mathayo Torongei kuwa MBUNGE HALALI WA CHALINZE.