Pinga pinga na timu yao iliyoshindwa mitandaoni

Pinga pinga na timu yao iliyoshindwa mitandaoni

polepole ni malaya wa itikadi.....saaizi hana habari km alitetea katiba halisi ya watz rasimu ya WARIOBA
Alafu alivyo na IQ ndogo anatuaminisha kuwa haoni haja ya katiba mpya kwa kuwa yaliyotakiwa kuwa kwenye katiba JPM anayatekeleza kwa vitendo
 
Ukiwa unaendelea kusoma hapo Darasani na kufanya Speculation
Jiulize kwa nini Dangote na kuwa ni bilionea namba moja Afrika lkn kwao kuna majority wenye hali duni kuliko Tz.
Darasani nimemaliza muda sana, usipige mno ramli.

Tukirudi kwenye utajiri wa Dangote na umaskini wa Nigeria.
Swali lako ni kama vile unamaanisha "Kwakua Dangote ni tajiri basi na Nigeria iwe tajiri"

Kuna utajiri wa mtu mmoja mmoja halafu kuna utajiri wa jamii kwa ujumla, ulichokosea ni umechanganya hivyo vitu viwili

Halafu Nigeria ina watu wengi saaaaana kushinda Tanzania
 
sasa mkuu unatuambiaje ili tuweze kuwaamini japo kwa nguvu HV serikali yenu haina connection baina ya taasisi na taasisi maana msemaji mkuu wa serkali amekuwa mpinzani mkuu wa mheshimiwa rais..

Mh rais amesema haongezi na hatoongeza mishahara kwa watumishi wa umma maana ana kazi nzito yakuijenga nchi Dr Abbasi kaja kumpinga rais sasa mzee huko juu inakuaje...maana kwa uandishi huu inaonekana nawe unakula keki ya taifa hivyo inawezekana utakuwa na majibu kidogo....hayo ya pumpets nakuachia mwenyewe maana nikikwambia unidhibitishie utakimbia....ni propaganda tu za kisiasa....nipe jibu mkuu..
Usichanganye posho na mishahara.

Nadhani leo umensikia akisema haya:-

"Tumeshafany uchambuzi kwa watumishi 59,967 watarekebishiwa mishahara yao na promotion zao karibu bilioni 159 zitaanza kutolewa kuanzia mwezi unaokuja lakinitusingefanya uchambuzi, tungelipabilioni 89 kwa watumishi hewa.

Ninasema hivyo, simaanishi kuwa mishahara isiongezwe, La Hasha! Ninachotaka kusema ni kwamba, kabla ya kudai nyongeza ya mishahara, ni lazima kwanza kufahamu uwezo wa serikali. Lakini pia tutambua kwamba kuna watanzania wenzetu wengi wanaohitaji kuboreshewa huduma"
 
Hivi unachagua alivyoongea mwalimu?Kuna kauli alisema kuwa hawezi kuacha nchi yake kwa nani vile?
 
sasa mkuu unatuambiaje ili tuweze kuwaamini japo kwa nguvu HV serikali yenu haina connection baina ya taasisi na taasisi maana msemaji mkuu wa serkali amekuwa mpinzani mkuu wa mheshimiwa rais..

Mh rais amesema haongezi na hatoongeza mishahara kwa watumishi wa umma maana ana kazi nzito yakuijenga nchi Dr Abbasi kaja kumpinga rais sasa mzee huko juu inakuaje...maana kwa uandishi huu inaonekana nawe unakula keki ya taifa hivyo inawezekana utakuwa na majibu kidogo....hayo ya pumpets nakuachia mwenyewe maana nikikwambia unidhibitishie utakimbia....ni propaganda tu za kisiasa....nipe jibu mkuu..
Wanaugonjwa uliosabishwa na ukosefu wa logic.
 
Haya nayo ya kuilaumu Serikali?
Km wewe ni Mzazi basi ni mzembe na huijali familia yako.
Umeshajua Mwanao ni above 5 sasa hata kumkatia bima ya afya unashindwa? Kweli acha upigwe hiyo 10,000/= kila uingiapo naye kwenye lile geti.
We mpumbavu sana,sasa kazi ya serikali ni kukusanya fedha au kutoa huduma? Kama ni kutoa huduma jua kuna watu wana stahili kupewa hizo Bima za Afya bure kabisaa na sio kulipia, awamu iliyopita iliwezaje kutoa huduma ya Sickle cell bure kwa wote na ya sasa iwe inataka ela? Yaani kuna mitanzania aina yenu ni mipumbavu sana
 
Nimependa hiyo terminology ya Ugaidi kwa kutumia habari.

Yaani bavicha imetengeneza kitengo cha upotoshaji.
 
Darasani nimemaliza muda sana, usipige mno ramli.

Tukirudi kwenye utajiri wa Dangote na umaskini wa Nigeria.
Swali lako ni kama vile unamaanisha "Kwakua Dangote ni tajiri basi na Nigeria iwe tajiri"

Kuna utajiri wa mtu mmoja mmoja halafu kuna utajiri wa jamii kwa ujumla, ulichokosea ni umechanganya hivyo vitu viwili
Na humu jf ni Darasa kubwa sana
Hayo uliyoandika ndiyo mnayopinga hapa nyumbani lakini kwa mataifa ya nje mnayaona ni uhalisia. Kubali tu Siasa zenu zimeathiriwa na kukosa agenda kuu safari hii baada ya Magufuli kuyafanyia kweli mengi mliyokuwa mnayatuhunu kwa Serikali
Mnalokosa kujua ni kuwa utendaji mbaya wa watendaji na mafisadi si tu uliumiza watu fulani bali ni umma mkubwa wa Watanzania bila kujali itikadi zao,na hivyo CCM pia ina haki kusimamia kwa uthabiti kuvunja mabovu yale. Na ndio maana mafisadi walikimbia
 
sasa mkuu unatuambiaje ili tuweze kuwaamini japo kwa nguvu HV serikali yenu haina connection baina ya taasisi na taasisi maana msemaji mkuu wa serkali amekuwa mpinzani mkuu wa mheshimiwa rais..

Mh rais amesema haongezi na hatoongeza mishahara kwa watumishi wa umma maana ana kazi nzito yakuijenga nchi Dr Abbasi kaja kumpinga rais sasa mzee huko juu inakuaje...maana kwa uandishi huu inaonekana nawe unakula keki ya taifa hivyo inawezekana utakuwa na majibu kidogo....hayo ya pumpets nakuachia mwenyewe maana nikikwambia unidhibitishie utakimbia....ni propaganda tu za kisiasa....nipe jibu mkuu..
Mmoja wao huyu hapa
 
Majibu ya hayo maswali mbona Mtendaji mkuu wa Serikali awamu hiyo mnaye huko?
Au akihama chama ndio basi na maamuzi aliyoshauri na kusimamia yanakuwa siyo yake?
Kwani yeye ndio baraza la uongozi wa nchi? Au hujui kuwa maamuzi yaliyoamuliwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, rais anaweza kutenda kinyume chake kulingana na perception na mood yake juu ya jambo hilo?
Punguza basi kuhamisha magoli kwani mhusika kiongozi wa yote mnaye hapo na wengine wamevaa hiyo sare mnatuchora tu! Mungu anawaona lakini kwa umaskini huu mnaotujengea kwa makusudi!
 
Nimependa hiyo terminology ya Ugaidi kwa kutumia habari.

Yaani bavicha imetengeneza kitengo cha upotoshaji.
Kweli kabisa kama kauli hii;Sitaongeza hadi uchumi utakapokuwa.Nyigine inasema tumepitia kila kitu,ila tunahakiki bamia 40000 zilizo nyauka,halafu tutaongeza mchicha. Aaaa oh.
 
Na humu jf ni Darasa kubwa sana
Hayo uliyoandika ndiyo mnayopinga hapa nyumbani lakini kwa mataifa ya nje mnayaona ni uhalisia. Kubali tu Siasa zenu zimeathiriwa na kukosa agenda kuu safari hii baada ya Magufuli kuyafanyia kweli mengi mliyokuwa mnayatuhunu kwa Serikali
Mnalokosa kujua ni kuwa utendaji mbaya wa watendaji na mafisadi si tu uliumiza watu fulani bali ni umma mkubwa wa Watanzania bila kujali itikadi zao,na hivyo CCM pia ina haki kusimamia kwa uthabiti kuvunja mabovu yale. Na ndio maana mafisadi walikimbia
Kiukweli ushanikera, hapa tunawekana sawa unaanza kuniambia "Siasa zenu" we jamaa vipi?

Umetoa hoja naweka hoja unaanza kuandika utumbo?

Dafuq
 
Nimependa hiyo terminology ya Ugaidi kwa kutumia habari.

Yaani bavicha imetengeneza kitengo cha upotoshaji.
Huo ndio ukweli. Na kuna wengine bado wako Nchi jirani wanafundishwa project km hiyo inaitwa Cambridge Analytica wakifundishwa Weaponization of information.
 
Watag mzee ruksa, lord nani...... na huyu wa juzi-wakikuelewa mimi nani nipinge?
 
Kiukweli ushanikera, hapa tunawekana sawa unaanza kuniambia "Siasa zenu" we jamaa vipi?

Umetoa hoja naweka hoja unaanza kuandika utumbo?

Dafuq
Elimu ya siasa uwe mvumilivu hutakiwi kulazimisha views zako bali jenga hoja ushawishi
 
Duh kweli sahizi CCM mmejaa HOFU!!!..Hakuna kujiamini tena mda woote mnawaza CHADEMA.

Mlidhani mkizuia mikutano ya hadhara,maandamano,bunge live na kuwanyanyasa wapinzani mtawatawala watanzania kama mifugo...lakini wapii hali ndo kwanza inazidi kuwa tete.

Siasa imehamia mtandaoni Mmejaaa HOFU kila kona Mnawaza CHADEMA.

Wafanyakazi wadai haki zao hoja ZAO NI ZA CHADEMA!!

Wananchi walalamike MAISHA MAGUMU @wamechochewa na CHADEMA!!!

Rais ahutubie pumba@CHADEMA WANAPOTOSHA umma!!!

Hivi ni lini mtaamini dunia imebadilika!!!?

Ni lini mtaachana na fikira za kuamini mpo sahihi mda wote!!?

Acheni ujinga this is the 21st Century Renaissance &enlightenment movement.

People are so active more than u can possibly imagine.

Tatizo siyo CHADEMA tatizo ni CCM kutafsiri maendeleo kwa Tanzania ya KUFIKIRIKA!!

Watanzania wanataka MABADILIKO,wayaone na kuyaishi!!

HATUTAKI HADITHI COZ MAISHA YAKO LIVE NA SOTE TUNAONA NA KUHISI HALI MBAYAAAAAAAA!!!
 
Elimu ya siasa uwe mvumilivu hutakiwi kulazimisha views zako bali jenga hoja ushawishi
Hapo ndipo mnapokosea nyie mnaojifunza siasa kwenye matawi ya chama.

Mnasahau kujenga hoja mnaanza kushambulia mtu halafu mnasingizia unahitajika uvumilivu.

Ungeng'ang'ana na hoja kuna kitu ningejifunza kutoka kwako na kinyume chake, ila umeacha uchama ukuharibu.
 
Wakati wa Mwl hakukuwa na kikundi cha watu wasiojulina wanaowatwanga wakosoaji wa serikali mchana kweupeee
 
Haya nayo ya kuilaumu Serikali?
Km wewe ni Mzazi basi ni mzembe na huijali familia yako.
Umeshajua Mwanao ni above 5 sasa hata kumkatia bima ya afya unashindwa? Kweli acha upigwe hiyo 10,000/= kila uingiapo naye kwenye lile geti.
Umeandika pumba tupu,tunajua buku saba inakuhusu

Ova
 
Haya nayo ya kuilaumu Serikali?
Km wewe ni Mzazi basi ni mzembe na huijali familia yako.
Umeshajua Mwanao ni above 5 sasa hata kumkatia bima ya afya unashindwa? Kweli acha upigwe hiyo 10,000/= kila uingiapo naye kwenye lile geti.
Wallah hii nchi imejaa masakala, mkishashiba tambi walikoolewa dada zenu hamjui kuna asilimia 43 ya Watanzania kwa mwaka mzima hawaishiki 300,000 wao hula mahindi wanayolima.

Hii nchi haiishii Buguruni dogo
 
Back
Top Bottom