Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Naomba kutoa masikitiko yangu makubwa sana juu ya Mh. Pinda kushindwa kumsaidia Rais kwenye suala la Elimu.
Ni muhimu kwanza kuweka wazi kwamba shule za msingi na sekondari ziko chini ya TAMISEMI, wizara iliyochini ya Waziri Mkuu. Hivyo majukumu ya mambo ya shule za Msingi na Sekondari yako kwa ujumla wake chini ya Waziri Mkuu.
Sasa naomba tujikumbushe.
Sumaye:
- Alibuni, akasimamia kwa ukaribu wa hali ya juu tatizo la madawati kwenye shule za msingi na sekondari, bila msaada mkubwa wa Rais Mkapa. Na wale wanaokumbuka alifanikiwa sana,
LOWASSA
- Alibuni, akasimamia ujenzi wa shule za kata a.k.a shule za Lowassa bila msaada wa karibu sana wa Rais. Haya ndio matokeo makubwa ambayo CCM inayaringia kupita matokeo mengine yote.
PINDA
- Rais wake, boss wake amebuni na kusimamia utekelezaji wa ujenzi wa maabara za shule za sekondari. Kwa maana nyingine msaidizi wa Rais badala ya kumsaidia Rais yeye ndiye sasa mwenye kusaidiwa na Rais.
Ninasikitishwa kama Raia wa Tanzania kuwa na waziri mkuu kama huyu... Mimi sio mwanasiasa hivyo isijechukuliwa ni kampeni... ni ukweli tu,
Mwenye maoni tofauti na haya karibu.
Pasco Ritz
Ni muhimu kwanza kuweka wazi kwamba shule za msingi na sekondari ziko chini ya TAMISEMI, wizara iliyochini ya Waziri Mkuu. Hivyo majukumu ya mambo ya shule za Msingi na Sekondari yako kwa ujumla wake chini ya Waziri Mkuu.
Sasa naomba tujikumbushe.
Sumaye:
- Alibuni, akasimamia kwa ukaribu wa hali ya juu tatizo la madawati kwenye shule za msingi na sekondari, bila msaada mkubwa wa Rais Mkapa. Na wale wanaokumbuka alifanikiwa sana,
LOWASSA
- Alibuni, akasimamia ujenzi wa shule za kata a.k.a shule za Lowassa bila msaada wa karibu sana wa Rais. Haya ndio matokeo makubwa ambayo CCM inayaringia kupita matokeo mengine yote.
PINDA
- Rais wake, boss wake amebuni na kusimamia utekelezaji wa ujenzi wa maabara za shule za sekondari. Kwa maana nyingine msaidizi wa Rais badala ya kumsaidia Rais yeye ndiye sasa mwenye kusaidiwa na Rais.
Ninasikitishwa kama Raia wa Tanzania kuwa na waziri mkuu kama huyu... Mimi sio mwanasiasa hivyo isijechukuliwa ni kampeni... ni ukweli tu,
Mwenye maoni tofauti na haya karibu.
Pasco Ritz