nilipomaliza kusoma hii nikarudi SOMA I'd ya muanzishaji nipate hisia anaweza kuwa anatokea kanda ipi, I'd imeakisi nilichokuwa nahisi. acheni ukaskazini jamani.mmetafuna vya kutosha na bado mnaendelea kutafuna Ila hamridhiki. kanda zingine zikigawiwa kidogo mnabekwa ovyo, kisa mnamiliki media,mpo wengi mitandaoni na mnamiliki hadi chama cha siasa cdm. ntajibu hoja ya pili. niambie kilometa za rami mkoani Kilimanjaro,ni nyingi sana,huduma za umeme,maji. vyote vinajengwa na wahisani. bado sasa ukipita wanaendelea jenga rami. kamwe hajabweka mtu humu kwamba mbona wilaya za muhimu sana kama nkasi na mkoa WA kigoma vilivyo muhimu kwa biashara na nchi za maziwa makuu zimetelekweza. hao wahisani wanapenda Kilimanjaro tu!!!! angalia umuhimu WA mbuga ya Serengeti,pato inaloingiza, pita wilayani Serengeti utaweza lia. watalii wamevaa mask kisa vumbi. Mbona hajabweka mtu wajangewe rami. kikwete anataka jenga rami wanalia ajabu,wameapa kukwamisa. wao wapo radhi wanaserengeti wafe kama walivyokuwa wanafurahia wanangorongoro wanakufa kwa njaa lakini wao waneemeke kule moshi kwa kupokea watalii.
Leo mnamsakama pinda na makinda kuomba mikoa. Mbona mchezo WA wilaya mpya ulianza zamani huko kilimanajaro hamjawahi bweka!!!! rejea mwanga,na karibuni wilaya ya mpya ya hai, yaani wilaya inaeneo kama tarafa.ni kama zile wilaya za zenji. hamjabweka. eti mpanda airport imekuwa nongwa. mnaroho mbaya sana,ni asili yenu coz tunaishi nanyie.