I don't know about kuonewa, usipofanya kazi inavyotakiwa unatolewa.
Ila pia, the elephant in the room few are mentioning is called Jakaya Mrisho Kikwete.
yaani mtu mmoja tu? Asumbue vichwa? Tena asumbue serikali? Nao wanamwangalia tu kama hawabenefit? Na ikiwa hivyo kazi ya TISS ni nini tena?
Kuna kigogo anayehusika na kuyumbisha nchi, hawa ni matawi tu. Sitegemei katika familia mtoto afanye kitu kinyume cha matakwa ya mkuu wa kaya. Yaliyompata Edward Lowasa ndiyo yanayowapata hawa sasa hivi. Kama Lowasa aliharibu nchi, je baada ya kuachia ngazi nini kinaendelea? Mbona mbaya zaidi kuliko wakati wa Lowasa katika ufujaji wa mali ya umma na usimamizi duni kabisa katika shughuli za serikali na mali ya umma?
Tujiulize, hivi kiranja mkuu anafanya nini na zile orodha kede alizonazo (Wahujumu uchumi, wafanya biashara ya madawa ya kulevya, watuhumiwa wa RADA, ........) kwa zaidi ya miaka 5???!!!!
Hizi si dalili za wazi kwamba yanamkwama kwa sababu anahusika???
Kweli nawaambieni, hata kurudi pale "mahali patakatifu" kwa mara ya pili, ni kutokana na ubovu wa katiba yetu, ujinga wa wananchi tuliowengi(ambao ndio mtaji mkubwa wa Chama Chawala) na ubinafsi na unafiki wa wasomi wa nchi yetu.
Kiranja mkuu na Chama chake ndiyo sumu na adui mkuu wa nchi yetu. TUAMKE!!!
Japo kuna ugumu kuwaondoa (hawatakubali kirahisi), lazima tufanye kazi bila kuchoka hadi tuwatoe!!
Wasipotolewewa, tutakufa sisi.
Kila siku watakuwa wanabadili mbinu na kutuletea maneno matamu yasiyo na tija.
Tukizubaa, watafuna zaidi, wanapata uwezo zaidi wa kyumbisha vyo vyetu vya haki kwa kutumia rushwa, vitisho na mabavu.
Moja ya sera zao maarufu ni kulindana.
Tumeshudia wasafi miongoni mwao, wakijaribu kusafisha mfumo na kukandamizwa hata kuhatarisha UHAI WAO! Sisi watanzania ni mashujaa, tusiogope kakundi ka WADHALIMU kanakojibandika sura ya serikali(a group of colluding rooters, in the dress of a government).
Alisema Dr Slaa katika kampeni za uchaguzi mkuu 2010 kwamba, "Kumchagua Kikwete katika ucaguzi huu ni janga la Taifa."
Matatizo yote ya Tanzania yanasababishwa na Kikwete alias chaguo la mafisadi.
Kuna mtu kaniambia Brazili kuna totoz si mchezo
Hajakosea kukuambia hivyo, kwani kule kuna totoz za kichotara, chotara wa kizungu na chotala wa latin America, aka spanish chotara kama wala wa Cuba. Amini mwenye moyo mchache anateleza. Hata kama first lady yupo anaweza zungukwa maana mambo haya ni mipangilio ya kisayanzi na mbinu za kisanii.