Hapa anamwambia Kijana usiwe mtata kama mwenzako Godbless Lema...unajua Lema nilijaribu kukaa nae na kumuomba apunguze mukali lakini hakuna hivyo mimi na cham changu hatukuwa na njia nyingine bali ni kumuondoa kwa njia ya mahakama....
''Kijana hii suti kama yetu vile.........hebu kaivue uvae zile zenu''
Kijana nikumegee siri, navuta muda tuu maana 2014 na mimi natia timu kwenye gwanda nishachoka na ubabaishaji kwenye chama chetu. Hivyo punguza makali ya maswali kwangu dogo janja.